Mabeberu wamenikaribisha chakula nikakataa

Mabeberu wamenikaribisha chakula nikakataa

The golden

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2018
Posts
1,381
Reaction score
2,586
Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.

(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.

(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.

(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.

(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.

Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.

(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.

(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.

(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.

(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.

Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Thanks. Kidogo tu nikose pointi yako... Anyhow wanakuja wengi watapotea kabisa!!!! Hahaha... hii ndo JF
 
N
Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.

(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.

(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.

(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.

(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.

Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechekaaaaaaaaaa daàaaaaaa kweli mabeberu noooomaaa
 
Back
Top Bottom