and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Mabaunsa wamepewa onyo kali kutojihusisha na mapenzi yasiyofaa kwa kuendekeza njaa. Wameaswa kulinda kazi yao ya Ulinzi badala ya mapenzi ya kudhalilisha Utu na kazi yao.
MasikitikoWengi ni chakula
Wanataka wenyewe. Baadhi mpaka wanalilia zaidi ya demuMbona haiingii akilini?
Hawa Jamaa Kwa jinsi walivyokomaa na Mavyuma ya Gym, wanaume wanaowapanda wanapata wapi huo Ujasiri?
Kama mwarabu na Ile Sura ngumi bado wahuni wamepapsaMabaunsa imekuwaje tena 😂🤣, tabia za kupenda kitonga zinawaponza watu, utataka ulelewe na mmama, ukikosa mmama mwishowe mbaba anakulea.
Wanaume tusikimbie majukumu.
Mie hawa vidali sijawahi kuwa na imani nao kabisa.