Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,290
- 2,822
nenda nabaki afrika bei kubwa lakini bidhaa bora.
Wale jamaa vitu vyao viko juu sana, kwa mtanzania mwenye kipato cha kawaida hawezi ku afford.
nenda nabaki afrika bei kubwa lakini bidhaa bora.
kuna wachina wapo vingunguti bei zao poa balaa!!jaribu ukawaone wao pia maana waweza ongea hata vat usilipe
Old is Gold, nimeku-pm mkuu!kuna wachina wapo vingunguti bei zao poa balaa!!jaribu ukawaone wao pia maana waweza ongea hata vat usilipe
kuna wachina wapo vingunguti bei zao poa balaa!!jaribu ukawaone wao pia maana waweza ongea hata vat usilipe
Bati zote za rangi zinapauka . Kiboko anatumia material tofauti na ya ALAF.
Jaribu Ando Tiles (siyo zile sand blasted), Ando na ALAF wanasource kutoka same supplier na bei zake ni nafuu. Ando wako prompt kwenye kusupply material.