Mabati ya migongo mipana IT trough

Mabati ya migongo mipana IT trough

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,716
Ni wapi yanapatikana kwa bei nafuu maana nimekwenda ALAF wameniambia ni sh 12000 per square metre kwangu naona ni ghali ukiongeza na VAT hapo ni balaa. Nataka Gauge 28 rangi ya blue.
 
Ni bei ya kawaida kwa IT ni 12,000 per square miter au per line miter? Jaribu kwenye kampuni ya KIBOKO.
 
At any cost jichange ununue ALAF maana kuna jamaa alinunua izo brand zingine baada ya miezi. Sita rangi ikaanza kupauka kuua so ilibidi apake rangi tena maana ni mtu wa misifa
 
Bati zote za rangi zinapauka . Kiboko anatumia material tofauti na ya ALAF.
Jaribu Ando Tiles (siyo zile sand blasted), Ando na ALAF wanasource kutoka same supplier na bei zake ni nafuu. Ando wako prompt kwenye kusupply material.
 
simba dumu ni bora zaidi baadae utapaka rangi,hiyo pesa utatengenezea hata madirisha mkuu hali ni tete kwenye hii nchi uliyobakwa na wanyang'anyi...
 
cheap is expensive bora ujipange upate kitu bora, ALAF imezidiwa kidogo na Ando kwa bei na ubora ila ukitaka bei ya chini maana itabidi uingie gharama ya kupaka rangi tena au kuvumilia mpauko.
 
cheap is expensive bora ujipange upate kitu bora, ALAF imezidiwa kidogo na Ando kwa bei na ubora ila ukitaka bei ya chini maana itabidi uingie gharama ya kupaka rangi tena au kuvumilia mpauko.

Ando kiwanda chao kiko wapi?
 
cheap is expensive bora ujipange upate kitu bora, ALAF imezidiwa kidogo na Ando kwa bei na ubora ila ukitaka bei ya chini maana itabidi uingie gharama ya kupaka rangi tena au kuvumilia mpauko.

Mkuu mimi natafuta Ando hivi Alaf wanaproduce na Ando? zinapatikana wapi kwa bei nzuri? bei zake zinaendaje?
 
Bati zote za rangi zinapauka . Kiboko anatumia material tofauti na ya ALAF.
Jaribu Ando Tiles (siyo zile sand blasted), Ando na ALAF wanasource kutoka same supplier na bei zake ni nafuu. Ando wako prompt kwenye kusupply material.

Ando zinapatikana wapi kwa bei nzuri mkuu? Alaf hawatengenezi Ando Tiles?
 
Ubora wake ukoje?
suala la ubor aweka pembeni maana haya mabati yaliyo decorated ni mapya hapa tanzania hakuna nyumba yenye 30yrs iliyojengwa na hayo mabati tukajua ubora wake!paa bora ni la vigae vya udongo tuuu vilianza kutumika karne ya 18 mpaka leo nyumba zipo
 
kuna wachina wapo vingunguti bei zao poa balaa!!jaribu ukawaone wao pia maana waweza ongea hata vat usilipe

Mchina hajawahi keleta bidhaa yenyewe ubora TZ kila kitu ni feki tu
 
Mkuu mimi natafuta Ando hivi Alaf wanaproduce na Ando? zinapatikana wapi kwa bei nzuri? bei zake zinaendaje?

ALAF wapo Tazara wakati Ando wapo Mikocheni, hao ni washindani, lakini pia wana mawakala sehemu mbalimbali unapoweza kupata taarifa ya bei na mabati yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom