Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,274
umejibu vyema sana, ngoja nimpe ukweli
Sijaona fact ktk maandishi yako, as ulinunua na hukutosheka na ubora? Umefanya tafiti yoyote labda kwa vigezo/vipimo vinavyotumika ukabaini udanganyifu ama una refference ya kipi juu ya bidhaa husika? Nadhani yakupasa uje na fact pasipo hiyo hiki ulichokiandika ni rahisi kuata tafasiri ya chuki ama umbea.