Mabati ya ALAF yako overated sana

Mabati ya ALAF yako overated sana

umejibu vyema sana, ngoja nimpe ukweli
Sijaona fact ktk maandishi yako, as ulinunua na hukutosheka na ubora? Umefanya tafiti yoyote labda kwa vigezo/vipimo vinavyotumika ukabaini udanganyifu ama una refference ya kipi juu ya bidhaa husika? Nadhani yakupasa uje na fact pasipo hiyo hiki ulichokiandika ni rahisi kuata tafasiri ya chuki ama umbea.
 
Una uhakika?
unafahamu mabati ya Alaf yana upana gani?
umetafiti juu ya ubora au rangi zao zadumu muda gani?
wale unaowasifia unajua upana wa bati zao?
ukiweza kunijibu nitakupa ukweli halisi kwani mimi ni mdau mkubwa sector hiyo
Kwa utafiti wangu mdogo nimeona watanzania tunapigwa na wauza mabati ya ALAF kwa kuaminishwa kua yako special sana kuliko mabati mengine.

Haya mabati tunapigwa, hayana ubora wa kipekee kuliko mabati mengine, hayana utofauti wowote.

Kwa kweli sijaona chochote cha ziada kwenye hayo mabati. Usiwe draged na majority, hayana upekee wowote.
 
Si kweli ndugu angalia mabati ya kampuni zingine yanavyo pauka paa linakuwa na mabakamabaka ndani ya mwaka mmoja tu.
watu wanadanganywa na wachina wenye bidhaa za low quality japo sio wote
 
watu wanadanganywa na wachina wenye bidhaa za low quality japo sio wote
Mkuu hawa jamaa wa Ando roofing umeshawahi tumia bidhaa zao?. Jamaa wanabati za uhakika sana japo bei yao imechangamka pia.
 
Mkuu hawa jamaa wa Ando roofing umeshawahi tumia bidhaa zao?. Jamaa wanabati za uhakika sana japo bei yao imechangamka pia.
Ando namfahamu tangu 2004 kabla anauza urembo, bati nilianza kuzitumia from products za awali kabisa.
Huwezi kumlinganisha ando na alaf, ando upana mdogo wa 89cm to 90cm wakati Alaf ni 101.5cm to 107.5cm.
ubora wa alaf hujawahi badilika lkn ando waliwahi kuchemka rangi.
 
Tupe matokeo ya utafit yanayosema alaf sio bora kiloka izo brand zingne. Acha porojo
 
Mkuu Alaf ni level zingine zile bati zina Aluminium kwa juu inachukua miaka mingi sana kupata kutu tofauti na hizi zingine mwaka mmoja tu zishaanza kufubaa na mwaka unaofuata ni kutu
hivi zinc ndio aluminium mkuu?
 
we!!we!!! labda hujawahi kujenga, na kama hujawahi kujenga hujatembelea kwenye majengo ya watu ukaona jinsi mabati ya kampuni nyingine yalivyopauka kama ngozi ya kenge? asikudanganye mtu kwa bongo bati ni ALAF tu
japo sio alaf peke yao wenye ubora lkn nakubaliana nawe kuwa ni bora sana
 
Sijaona pahala mleta mada ameonyesha kwwamba ameyatumia au labda kama amesahau kueleza, feedback ambayo ni relevant na reliable itokane na kitoridhishwa kwa bidhaa, mie nimeezeka kwa kutumia Alaf gage 30 migongo mpana, bado sijaona tatizo lolote achilia mbali kupauka! Zaidi ni wanaonifuata kuuliza juu ya upatikanaji wake. Mnyonge mnyongeni, haki yake moeni.
 
ando ni bati bora, ilichukua tuzo ya super brand (bati bora) nadhani mwaka 2013,2014, 2015 nimepaulia na Alaf na Ando miaka minne imepita bati zote bado kisu hazijapauka, hata bei ni (zinakaribiana)equivalent...
Unachosema mkuu ni sahihi kabisa. Jamaa wako vizuri sana
 
Si kweli ndugu angalia mabati ya kampuni zingine yanavyo pauka paa linakuwa na mabakamabaka ndani ya mwaka mmoja tu.
Nimetumia bati la kiboko lipo vyema mwaka wa pili huu ila wale majirani zangu wa ALAF wana kitu mpauko....
 
Back
Top Bottom