View attachment 73974
kufuru, mdhungu na Mungu wameishana herufi moja tu, kwa Mungu letters hakuna Z
Humo abiria tu mkuu, basi la kubebea samaki tenaMwe, mbona linaonekana pua ikigusa maji na mkia ukigusa maji? Hebu weka tuone linavyopiga mbizi bana. Hili lazima litakuwa ni nyambizi muundo wa basi, vinginevyo linatumika kubeba ice cream, samaki wabichi n.k.
View attachment 73973
hili laweza tembea baharini, mtoni, ziwani etc
View attachment 73974
kufuru, mdhungu na Mungu wameishana herufi moja tu, kwa Mungu letters hakuna Z
hii ni buffalo inafanya safari za dar arushaView attachment 73961
moja ya mabasi makali sana
safari ni safari mkuu, bora msafiri awe kivukonikwahiyo muongozaji anakuwa captain & dreva, lol!! Hii balaa, inawezekana kweli? Watuletee nahuku hatutapata kuambiwa kejeli za kupiga mbizi kigamboni na busisi pia kamanga na kwingineko. Hata visiwani yatakuwa msaada mkubwa sana! :target: