Mabasi kutoka mikoa ya mbali kulala Morogoro

Mabasi kutoka mikoa ya mbali kulala Morogoro

Fikiri kabla ya kutenda acha kuropoka
Kuropoka ni kupi?
Je hujui kuwa Msamvu ni Soko kubwa LA biashara ya ngono?
nie kiache kichwa kifanye KAZI ya kufikiria, hayo makalio yako KAZI yake ni kukalia, sijui kwanini umeyapa KAZI ya kufikiri?
 
Sijawahi kuona basi lililotoka songea,tunduma au kyela likizuiwa morogoro kwakuwa mabasi hayo hata yakichelewa saaana kupita Moro yanapita saa moja,mengi yanapita hapo saa kumi na mbili sasa unazuiwaje kumalizia safari ya masaa matatu ili uingie Dar saa tatu au saa nne.
Huko mwanza kigoma na bukoba inawezekana kulala morogoro
 
Basi yanayolala njia ni kutoka sumbawanga, kigoma, na musoma mengine ni uzembe wa madereva na ubovu wa mabasi husika.

Ushauri panda mabasi mapya achana na mangarangara.
 
Wa kyela anawahi wa tukuyu analala moro??
Hayo mabasi mnayopanda ni mikangafu, yanafika moro saa tano na kuendelea hivyo yanazuiwa.
kweli mkuu Tunduma yenyew New force saa 12 au 1 ipo msamvu sembuse tukuyu hapo
 
Mwanza,Kigoma,Sumbawanga,Musoma,Bukoba yanalala morogoro Siku hizi

Si magari yote yanalala morogoro ili yalale ni lazima yachelewe kufika dsm. Gari likitoka Mwanza likafika Moro saa nne lazima lifike dsm ila kama litafika Moro saa sita au tano litalazimika kulala Moro.
 
Wanajamvi, imekuwa ni jambo la kawaida kwa mabasi kutoka Mwanza Tukuyu Songea Mwanza Kigoma kuzuiliwa Morogoro.

Pamoja na nia nzuri ya usalama lakini abiria wanateseka sana hasa ukizingatia kipindi hiki gharama za maisha Imekuwa juu.

Jana nilikuwa mhanga baada ya kukwama mji kasoro bahari nikitokea Mwanza.

Nadhani sasa wadau ni wakati muafaka wa kufuta safari za moja kwa moja kutoka katika hiyo mikoa ili abiria ajue kabisa kwamba atalala njiani.

Nawasilisha wakuu kwa mawazo yenu ju ya jambo hili.
kama unatoka dar kwenda mwanza dawa unapanda treni second class hadi dodoma, unaanza safari saa 11 jioni unalala hadi asubuhi unakuwa dodoma unakamata bunda bus saa tisa unakuwa mwanza.
 
ni jambo zuri kwan kulala usku m1 sio issue n bora nifike salam nikiw mzma wa afya kuliko kupata ukilema usiokuw na sababu zozot
 
Mwanza,Kigoma,Sumbawanga,Musoma,Bukoba yanalala morogoro Siku hizi
Sema bus ulilopanda lilizuiwa moro,mabus ya kutoka mwanza yakifika moro zaidi ya saa 4.30 ndio yanazuiwa,yakipita kabla ya hapo yanapita,huenda gari ulilopanda lilipata breakdown njiani hivyo mkachelewa kufika moro
 
Kuropoka ni kupi?
Je hujui kuwa Msamvu ni Soko kubwa LA biashara ya ngono?
nie kiache kichwa kifanye KAZI ya kufikiria, hayo makalio yako KAZI yake ni kukalia, sijui kwanini umeyapa KAZI ya kufikiri?
Hiyo inatemea namna ulivyojupanga kama utakuwa umekusudia kufanya ngono utafanya na kama siyo mzinzi utafanya shughuli iliyokupeleka
 
Sijawahi kuona basi lililotoka songea,tunduma au kyela likizuiwa morogoro kwakuwa mabasi hayo hata yakichelewa saaana kupita Moro yanapita saa moja,mengi yanapita hapo saa kumi na mbili sasa unazuiwaje kumalizia safari ya masaa matatu ili uingie Dar saa tatu au saa nne.
Huko mwanza kigoma na bukoba inawezekana kulala morogoro
Tatizo ni ratiba
 
Basi yanayolala njia ni kutoka sumbawanga, kigoma, na musoma mengine ni uzembe wa madereva na ubovu wa mabasi husika.

Ushauri panda mabasi mapya achana na mangarangara.
Inaelekea hujasafiri muda mrefu hujui unachozungumza
 
Mkuu vipi sasa?Kumbe unaomba mabasi yalale Morogoro halafu unaandika kana kwamba uamuzi umeshafanywa kwamba mabasi yalale Morogoro.Umenistua sana mkuu.
Wanajamvi, imekuwa ni jambo la kawaida kwa mabasi kutoka Mwanza Tukuyu Songea Mwanza Kigoma kuzuiliwa Morogoro.

Pamoja na nia nzuri ya usalama lakini abiria wanateseka sana hasa ukizingatia kipindi hiki gharama za maisha Imekuwa juu.

Jana nilikuwa mhanga baada ya kukwama mji kasoro bahari nikitokea Mwanza.

Nadhani sasa wadau ni wakati muafaka wa kufuta safari za moja kwa moja kutoka katika hiyo mikoa ili abiria ajue kabisa kwamba atalala njiani.

Nawasilisha wakuu kwa mawazo yenu ju ya jambo hili.
 
kama unatoka dar kwenda mwanza dawa unapanda treni second class hadi dodoma, unaanza safari saa 11 jioni unalala hadi asubuhi unakuwa dodoma unakamata bunda bus saa tisa unakuwa mwanza.
Hiyo nayo imekaa vizuri ingawa tren nayo hatabiriki.
 
Mkuu vipi sasa?Kumbe unaomba mabasi yalale Morogoro halafu unaandika kana kwamba uamuzi umeshafanywa kwamba mabasi yalale Morogoro.Umenistua sana mkuu.
Siombi mkuu ni ushauri maana hilo ni tatizo
 
Tochi zimezidi sana halafu pamoja natochi kuwa nyingi bado ajali nitatizo nachoomba kwaserikali ipange utalatibu mzuli wa usafali nahawa madreva walevi nawavuta bangi milungi na kuba wanyangˊnywe leseni kwajili ya usalama waabilia.. Pia mabasi yakaguliwe na vyombo husika kabla yasafali
 
Back
Top Bottom