Mabasi kutoka mikoa ya mbali kulala Morogoro

Mabasi kutoka mikoa ya mbali kulala Morogoro

Hii sheria ya mabasi kusafiri mwisho iwe saa 6 usiku SUMATRA inabidi waiangalie upya kwa mabasi yanayofika muda huo Morogoro, kwasababu watu wanaoenda Dar huwa na majukumu maalumu. Napendekeza haya mabasi yaruhusiwe kuendelea na safari mpaka Dar, Kwa vigezo vifuatavyo
1. Makampuni ya mabasi wawe na madereva watakaoendesha mabasi hayo kuanzia Morogoro, na orodha na majina yao pamoja na leseni ziwasilishe kwa RTO kilasiku, na kabla ya kuendesha wapimwe kilevi
2. Kuanzia saa sita usiku barabara ya Dar Moro haina magari mengi, kwahiyo ni salama zaidi Kwa muda huo kuingia Dar, no jams anywhere.
3. Itasidia kupunguza gharama za maisha kwa watanzania wenzetu nikiwemo mimi ambao safari za kwenda Dar ni lazima na si hiari.
4. Itaboresha maisha ya Watanzania na ukuaji uchumi
 
C Upande bomberdier kwa usafiri waharaka
 
Hii sheria ya mabasi kusafiri mwisho iwe saa 6 usiku SUMATRA inabidi waiangalie upya kwa mabasi yanayofika muda huo Morogoro, kwasababu watu wanaoenda Dar huwa na majukumu maalumu. Napendekeza haya mabasi yaruhusiwe kuendelea na safari mpaka Dar, Kwa vigezo vifuatavyo
1. Makampuni ya mabasi wawe na madereva watakaoendesha mabasi hayo kuanzia Morogoro, na orodha na majina yao pamoja na leseni ziwasilishe kwa RTO kilasiku, na kabla ya kuendesha wapimwe kilevi
2. Kuanzia saa sita usiku barabara ya Dar Moro haina magari mengi, kwahiyo ni salama zaidi Kwa muda huo kuingia Dar, no jams anywhere.
3. Itasidia kupunguza gharama za maisha kwa watanzania wenzetu nikiwemo mimi ambao safari za kwenda Dar ni lazima na si hiari.
4. Itaboresha maisha ya Watanzania na ukuaji uchumi

Kampuni Za mabasi nazo zipewe fursa ya kuadjust fare ili kufidiaongezeko la dereva wa tatu ila cha msingi watanzania wafike salama katika safari zao na kuepusha ajali na ustawi wa jamii
 
Hii sheria ya mabasi kusafiri mwisho iwe saa 6 usiku SUMATRA inabidi waiangalie upya kwa mabasi yanayofika muda huo Morogoro, kwasababu watu wanaoenda Dar huwa na majukumu maalumu. Napendekeza haya mabasi yaruhusiwe kuendelea na safari mpaka Dar, Kwa vigezo vifuatavyo
1. Makampuni ya mabasi wawe na madereva watakaoendesha mabasi hayo kuanzia Morogoro, na orodha na majina yao pamoja na leseni ziwasilishe kwa RTO kilasiku, na kabla ya kuendesha wapimwe kilevi
2. Kuanzia saa sita usiku barabara ya Dar Moro haina magari mengi, kwahiyo ni salama zaidi Kwa muda huo kuingia Dar, no jams anywhere.
3. Itasidia kupunguza gharama za maisha kwa watanzania wenzetu nikiwemo mimi ambao safari za kwenda Dar ni lazima na si hiari.
4. Itaboresha maisha ya Watanzania na ukuaji uchumi
Nakubaliana na wewe ila ningeongeza options
1.Mabasi toka Mwanza - Dar yaondoke saa nane mchana ili kufika mwisho WA saa 3 asubuhi.

2.Kila basi like na ratiba kulingana na mahali wanakoenda mfano Mbeya mabasi yanaweza kuondoka saa 12 jioni ili kufika asubuhi

Ni Tanzania tunakazania mabasi Twende mchana kwani kusinzia kwa Dreva hakutokani na giza bali kuchoka tuache wenye magari wapange ratiba na abiria tuchague muda wa Safari kulingana na mahitaji yetu!
 
Mkubwa panda NewForce Moro inaingia SAA 11 jioni toka Songea dar ni SAA moja usiku achana na mikangafu
 
Kwani ni lazima ushuke kwenye basi? Hauwezi kulala humo humo?
Jamaa yangu wewe unaweza kulala kwenye Basi mfano Taqwa imetoka Kampala au Bujumbura ambako kwao wanatembea hata usiku.
Chumba ni kidogo watu 50,
kuna kukoroma
kuachia hewa nzito
kupapasana kiti cha nyuma (abiria mlikuwa hamjuani mmepanda tu asubuhi usiku mmeshajuana)
kujisaidia kwenye machupa ya maji (Condom na vitu vingine kutupwa nje na pembezoni mwa mabasi)
ukiwa kati ndio hata dirisha usifungue
Hebu wateteeni abiria wasafiri hata masaa 24
au magari yaende mwendo wa 100km/h yanaweza kufika ndani ya hayo masaa 16
Kuna Kikao cha Wadau, Serikali, na Polisi tunaomba muyaruhusu mabasi yatembee usiku
hawa wenye magari binafsi hawajui ADHA zake
 
kufika Moro, sio lazima kulala.
jamaa yangu umeshawahi kupanda haya Mabasi au unatumia gari ndogoLabda mlichelewa
mwendo sasa hivi kwa mabasi ya abiria aua malori ni speed limit 80km/h
sasa km 1000 au 900 bado mahali popote pa makazi ya watu ni 50km/h
bado usimame stend dk15
hwezi ingia Dar ni lazima ujisogeze mpaka Morogoro ndipo wamepangiwa kulala.
Napo sasa kuna kero kupindukia
bora abiria wa Mwanza apande treni na kulala huko
 
jamaa yangu umeshawahi kupanda haya Mabasi au unatumia gari ndogoLabda mlichelewa
mwendo sasa hivi kwa mabasi ya abiria aua malori ni speed limit 80km/h
sasa km 1000 au 900 bado mahali popote pa makazi ya watu ni 50km/h
bado usimame stend dk15
hwezi ingia Dar ni lazima ujisogeze mpaka Morogoro ndipo wamepangiwa kulala.
Napo sasa kuna kero kupindukia
bora abiria wa Mwanza apande treni na kulala huko
Nimesafiri na basi (KVC Safari) tarehe 30-11-2016. Limeondoka Nyegezi bus stand saa 06:14 na limefika Ubungo saa saba na dakika kadhaa usiku wa tarehe 01-12-2016.
Acha kukariri fuata uhalisia.
 
Mimi nimewahi kulala pale kwa basi la kutoka Kyela mwez wa 10, Kwa kadri ya sababu zinazotolewa ukiwa mvivu wa kufikiri unaweza amini kuwa ni za msingi lakini ukweli ni kuwa ni mpango na wenye hotel na migahawa pale hivyo Rushwa Yahusika.
Dereva wa basi nililopanda alilalamikia kitu ambacho kweli nami nilithibitisha kipo. Hakuna gari ya mkoa iliyolala pale inaruhusiwa kuondoka kabla ya mabasi ya Abood. Mabasi ya mkoa yakijipanga Abood zinarihusiwa kuja kuegesha mbele ili ziwe za kwanza kurihusiwa ikifika SAA 12 asubuhi. Watoa masmuzi ya kijinga kama hayo hawahusiki na kero za kulala porini
Ni ushirikina wa hali ya juu kudhani kuwa ajali za mabasi zinaanza baada ya SAA NNE usoku.
Ni utafiti gani uliofanywa na hutuhumu SAA za usiku kuwa ni parameters muhimu kwenye ajali ? Uzembe uwe wa mchana au usiku unasababisha ajali lakini sio muda Fulani wa usiku au nchana.
Hiyo ni imani iliyopitwa na wakati
Ni wakati sasa magari yatumie taa zilizoekwa sio kwa ajili ya kupamba gari Bali ni kwa ajili ya kutumika wakati wa Giza
Bado tuko busy kutaka kurudi kule ambako toka mbeya hadi Dar kusafiri Sikh mbili wakati mabasi na muundo wa barabara unakidhi safari ya masaa 11 tu.
Hakuna gari imeundwa kwa kupata ajali iwe ni usiku au mchana. TBS na SUMATRA wasiruhusu kusajili magari yaliyotengenezwa kwa ajili ya kutembea mchana lakini sio mkuelrupuko wa kulazana barabarani kwa sababu zisizo na msinhgi kabisa
 
Pole sana mkuu ila kuna zingine zinafika kwa mfano mimi nilitoka mwanza tarehe 6 /12/2016 lakini tulifika Dar siku hiyo hiyo bus ya KISBO
 
Morogoro kituo cha uzinzi na ukahaba

Labda hakua na hela huyu au hakujua bei za takeaway Moro kua buku 5 unafungashiwa mixer ... Next time mleta Uzi ukilala Moro nenda itigi au kaumbu utapata bidhaa bora kwa buku mbili tu
 
Hii sheria ya mabasi kusafiri mwisho iwe saa 6 usiku SUMATRA inabidi waiangalie upya kwa mabasi yanayofika muda huo Morogoro, kwasababu watu wanaoenda Dar huwa na majukumu maalumu. Napendekeza haya mabasi yaruhusiwe kuendelea na safari mpaka Dar, Kwa vigezo vifuatavyo
1. Makampuni ya mabasi wawe na madereva watakaoendesha mabasi hayo kuanzia Morogoro, na orodha na majina yao pamoja na leseni ziwasilishe kwa RTO kilasiku, na kabla ya kuendesha wapimwe kilevi
2. Kuanzia saa sita usiku barabara ya Dar Moro haina magari mengi, kwahiyo ni salama zaidi Kwa muda huo kuingia Dar, no jams anywhere.
3. Itasidia kupunguza gharama za maisha kwa watanzania wenzetu nikiwemo mimi ambao safari za kwenda Dar ni lazima na si hiari.
4. Itaboresha maisha ya Watanzania na ukuaji uchumi
Ni kweli mkuu tatizo lingine linasababishwa na hao traffic maana vituo vya ukaguzi vimekuwa ni vingi mno ndani ya mkoa mmoja basi linasimamishwa zaidi ya mara nne mpaka tano.

Vituo vya ukaguzi vingepunguzwa kwa mfano basi likitoka Mwanza likaguliwe Tinde Dodoma Kibaha

Pia mizani nazo zinapoteza muda basi halina sababu ya kuingia kila kituo cha mizani hii pia inasababisha usumbufu mkubwa.
 
Jamaa yangu wewe unaweza kulala kwenye Basi mfano Taqwa imetoka Kampala au Bujumbura ambako kwao wanatembea hata usiku.
Chumba ni kidogo watu 50,
kuna kukoroma
kuachia hewa nzito
kupapasana kiti cha nyuma (abiria mlikuwa hamjuani mmepanda tu asubuhi usiku mmeshajuana)
kujisaidia kwenye machupa ya maji (Condom na vitu vingine kutupwa nje na pembezoni mwa mabasi)
ukiwa kati ndio hata dirisha usifungue
Hebu wateteeni abiria wasafiri hata masaa 24
au magari yaende mwendo wa 100km/h yanaweza kufika ndani ya hayo masaa 16
Kuna Kikao cha Wadau, Serikali, na Polisi tunaomba muyaruhusu mabasi yatembee usiku
hawa wenye magari binafsi hawajui ADHA zake
Nakubaliana na wewe mkuu mabasi yaongezwe speed kidogo mpaka 100 na traffic wapunguze kusimamisha mabasi bila sababu ya msingi.

Na pia hakuna sababu za msingi basi kuingia mizani zote hii pia inapoteza muda
 
jamaa yangu umeshawahi kupanda haya Mabasi au unatumia gari ndogoLabda mlichelewa
mwendo sasa hivi kwa mabasi ya abiria aua malori ni speed limit 80km/h
sasa km 1000 au 900 bado mahali popote pa makazi ya watu ni 50km/h
bado usimame stend dk15
hwezi ingia Dar ni lazima ujisogeze mpaka Morogoro ndipo wamepangiwa kulala.
Napo sasa kuna kero kupindukia
bora abiria wa Mwanza apande treni na kulala huko
Ni kweli mkuu baadhi wanabisha hata kusafiri hawajasafiri
 
Nimesafiri na basi (KVC Safari) tarehe 30-11-2016. Limeondoka Nyegezi bus stand saa 06:14 na limefika Ubungo saa saba na dakika kadhaa usiku wa tarehe 01-12-2016.
Acha kukariri fuata uhalisia.
Kwani huo si ndio alioeleza huyo ndugu hapo juu maana kwa kawaida mlionewa huruma maana ikifika saa 6 usiku mnatakiwa mlale.
Basi likitembea km 100 linafika Morogoro saa 12 jioni huo ni mwendo wa kawaida bila kusimamishwa hovyo hovyom
 
Mimi nimewahi kulala pale kwa basi la kutoka Kyela mwez wa 10, Kwa kadri ya sababu zinazotolewa ukiwa mvivu wa kufikiri unaweza amini kuwa ni za msingi lakini ukweli ni kuwa ni mpango na wenye hotel na migahawa pale hivyo Rushwa Yahusika.
Dereva wa basi nililopanda alilalamikia kitu ambacho kweli nami nilithibitisha kipo. Hakuna gari ya mkoa iliyolala pale inaruhusiwa kuondoka kabla ya mabasi ya Abood. Mabasi ya mkoa yakijipanga Abood zinarihusiwa kuja kuegesha mbele ili ziwe za kwanza kurihusiwa ikifika SAA 12 asubuhi. Watoa masmuzi ya kijinga kama hayo hawahusiki na kero za kulala porini
Ni ushirikina wa hali ya juu kudhani kuwa ajali za mabasi zinaanza baada ya SAA NNE usoku.
Ni utafiti gani uliofanywa na hutuhumu SAA za usiku kuwa ni parameters muhimu kwenye ajali ? Uzembe uwe wa mchana au usiku unasababisha ajali lakini sio muda Fulani wa usiku au nchana.
Hiyo ni imani iliyopitwa na wakati
Ni wakati sasa magari yatumie taa zilizoekwa sio kwa ajili ya kupamba gari Bali ni kwa ajili ya kutumika wakati wa Giza
Bado tuko busy kutaka kurudi kule ambako toka mbeya hadi Dar kusafiri Sikh mbili wakati mabasi na muundo wa barabara unakidhi safari ya masaa 11 tu.
Hakuna gari imeundwa kwa kupata ajali iwe ni usiku au mchana. TBS na SUMATRA wasiruhusu kusajili magari yaliyotengenezwa kwa ajili ya kutembea mchana lakini sio mkuelrupuko wa kulazana barabarani kwa sababu zisizo na msinhgi kabisa
Nakubaliana na wewe mkuu kuna mambo mengi yanachia kulazimisha watu kulala njiani
 
Labda hakua na hela huyu au hakujua bei za takeaway Moro kua buku 5 unafungashiwa mixer ... Next time mleta Uzi ukilala Moro nenda itigi au kaumbu utapata bidhaa bora kwa buku mbili tu
Hiyo siyo fani yangu mkuu.
 
Back
Top Bottom