Mabango katika Maandamano Kumpinga JK

Kaniki1974

JF-Expert Member
Dec 2, 2008
352
22
Tumeusema sana Utawala wa Kikwete. Hauna dalili yoyote ya kubadilika. Sasa ni time for action. Hatutaki kusubiri 2010. Wengi wanasupport maandamano yetu Kuupinga Utawala wa Kikwete kama ilivyojitokeza ktk thread iliyopita. 'Watanzania si mabwege tena'.

Sasa tunakusanya mawazo ya mabango tutakayobeba. Please, toeni maneno ya kuandika katika mabango hayo. Maneno yawe machache yenye ujumbe usiojificha na mkali kwa mfano: 'Viongozi Mnatusababishia Umaskini'

Mawazo yenu pse.
 
...Tukifaulu kuandaa maandamano, maneno ya kwenye mabango yatakuja tu! Mbona yako mengi tu? Tufanikishe maandamano kwanza maana hayo hata bila kubeba bango lolote wahusika watapata salamu zetu!!
 
Mimi nimekuwa nikingojea hilo la JF kuvuka kutoka kuwa kukwaa la mawazo na porojo tu na kuwa jukwaa la vitendo. Jambo muhimu la kujadili ni jinsi JF inavyoweza kuwa pro-active kupitia hatua dhahiri kama maandamano, makongamano, kutoa elimu ya uraia, nk. Hii maana yake ni kwamba sura za wanaJF (siyo mawazo tu) zitatambulika kwa jamii pamoja na kwa mahasimu wa jukwaa hili. Hiyo ndiyo changamoto. Tufanye nini?
 
Tumeusema sana Utawala wa Kikwete. Hauna dalili yoyote ya kubadilika. Sasa ni time for action. Hatutaki kusubiri 2010. Wengi wanasupport maandamano yetu Kuupinga Utawala wa Kikwete kama ilivyojitokeza ktk thread iliyopita. 'Watanzania si mabwege tena'.

Sasa tunakusanya mawazo ya mabango tutakayobeba. Please, toeni maneno ya kuandika katika mabango hayo. Maneno yawe machache yenye ujumbe usiojificha na mkali kwa mfano: 'Viongozi Mnatusababishia Umaskini'

Mawazo yenu pse.

kwani handsome boy kisha rudi toka usa??
tutaandamana tu wala usijali, sisi tunabeba mabango wao wanabeba marungu na mabomu ya machozi, na gari lao litabeba maji ya kuwasha.
watatuumiza lakini ujumbe utakuwa umefika mahala pake
 
tumeusema sana utawala wa kikwete. Hauna dalili yoyote ya kubadilika. Sasa ni time for action. Hatutaki kusubiri 2010. Wengi wanasupport maandamano yetu kuupinga utawala wa kikwete kama ilivyojitokeza ktk thread iliyopita. 'watanzania si mabwege tena'.

Sasa tunakusanya mawazo ya mabango tutakayobeba. Please, toeni maneno ya kuandika katika mabango hayo. Maneno yawe machache yenye ujumbe usiojificha na mkali kwa mfano: 'viongozi mnatusababishia umaskini'

mawazo yenu pse.
ccm 2010 basi katafuteni kazi nyingine hambebeki
 
ccm 2010 basi katafuteni kazi nyingine hambebeki

Wee Mateso, ni kivipi watatoka sasa?

Tupe japo mkakati binafsi wa jinsi ya kufanya katika kuunganisha nguvu, kuanzia kwako, kwa jirani yako na kwa Danganyika Nzima.

Mimi nina watu kama 200 hapa Ofisini, na wote wanachanachana makadi ya sisiemu muda huu!
Si ni hatua tosha? Kwa hapa Arusha Mjini, na kwa njia hii, huyu BUBU Mrema hatopona!
 
kwani handsome boy kisha rudi toka usa??
tutaandamana tu wala usijali, sisi tunabeba mabango wao wanabeba marungu na mabomu ya machozi, na gari lao litabeba maji ya kuwasha.
watatuumiza lakini ujumbe utakuwa umefika mahala pake

Hawezi kurudi mapema hivi, bado anaongea na google jinsi ya kwanasa 'Ze utamu wa kujitafuna'! Si umesikia kuwa kaitembelea google?
 
Jamani kuna nchi ya kibabe kama china? Mbona wale wanfunzi walikubali kupigwa risasi za moto pale Tianmen Square na leo tunaona mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kijamii katika jamii ya china leo. Elimu bora, maisha bora na idadi ya matajiri wa kichina imeongezeka. Sio demokrasia ucharwa tunayopigiwa kelele kwamba ipo Tanzania. Jamani vyama vingi sio demokraisia. Mijitu inakaa wizarani inaiingia mikataba ya kuuza nchi na wanachi walio wengi hasa vijijini hawafaidiki na utajiri Mungu aliotujalia. Wenzetu Niger Delta wanaendeleza mapambano dhidi ya watawala wanaochukua utajiri wao na kuwaachia umaskini. ni wangapi kati yetu wako tayari kufa ili kuikomboa nchi yetu dhidi ya makabaila hawa wa kitanzania walio vaa ngozi ya kondoo? Tuaache porojo kama ni noma na iwe noma. Tunataka mapinduzi ya kiuchumi na kijamii sio siasa uchwara ambapo kila mtu anakuja kutujaribia theory zake ambazo hazijazaa matunda. Mapinduzi ya kilimo yatakuja vipi kama mfumo wetu wa elimu ni utitiri wa shule ambazo ni bora elimu?
 
Last edited:
Bango lingine "Tanganyika itafufuka hata ikipita miongo kadhaa"

..sincerely I always dream that one unkown day Tanganyika will rejuvenate. Sio kama natoka nje ya mada bali ninafafanua bango langu hapo juu.
 
Jamani kuna nchi ya kibabe kama china? Mbona wale wanfunzi walikubali kupigwa risasi za moto pale Tianmen Square na leo tunaona mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kijamii katika jamii ya china leo. Elimu bora, maisha bora na idadi ya matajiri wa kichina imeongezeka. Sio demokrasia ucharwa tunayopigiwa kelele kwamba ipo Tanzania. Jamani vyama vingi sio demokraisia. Mijitu inakaa wizarani inaiingia mikataba ya kuuza nchi na wanachi walio wengi hasa vijijini hawafaidiki na utajiri Mungu aliotujalia. Wenzetu Niger Delta wanaendeleza mapambano dhidi ya watawala wanaochukua utajiri wao na kuwaachia umaskini. ni wangapi kati yetu wako tayari kufa ili kuikomboa nchi yetu dhidi ya makabaila hawa wa kitanzania walio vaa ngozi ya kondoo? Tuaache porojo kama ni noma na iwe noma. Tunataka mapinduzi ya kiuchumi na kijamii sio siasa uchwara ambapo kila mtu anakuja kutujaribia theory zake ambazo hazijazaa matunda. Mapinduzi ya kilimo yatakuja vipi kama mfumo wetu wa elimu ni utitiri wa shule ambazo ni bora elimu?
Jamani naunga mkono hoja ya maandamano kuupinga utawala huu wa ombaomba.Ndugu zangu unaweza ukajitolea maisha kwa ajili ya vizazi vijavyo kama Babu zetu walivyofanya kuuondoa ukoloni wa Mzungu,sasa nasi tujitolee kuuondoa ukoloni huu wa Mtu mweusi Mtanzania.Wageni wanachuma rasilimali zetu tunaangalia tuu.Ardhi inauzwa kwa wageni kama KIGAMBONI,MBUGA ZA WANYAMA na MIGODI tunakaa kimya haiwezekani tuamke jamani.
 
Jamani kuna nchi ya kibabe kama china? Mbona wale wanfunzi walikubali kupigwa risasi za moto pale Tianmen Square na leo tunaona mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kijamii katika jamii ya china leo. Elimu bora, maisha bora na idadi ya matajiri wa kichina imeongezeka. Sio demokrasia ucharwa tunayopigiwa kelele kwamba ipo Tanzania. Jamani vyama vingi sio demokraisia. Mijitu inakaa wizarani inaiingia mikataba ya kuuza nchi na wanachi walio wengi hasa vijijini hawafaidiki na utajiri Mungu aliotujalia. Wenzetu Niger Delta wanaendeleza mapambano dhidi ya watawala wanaochukua utajiri wao na kuwaachia umaskini. ni wangapi kati yetu wako tayari kufa ili kuikomboa nchi yetu dhidi ya makabaila hawa wa kitanzania walio vaa ngozi ya kondoo? Tuaache porojo kama ni noma na iwe noma. Tunataka mapinduzi ya kiuchumi na kijamii sio siasa uchwara ambapo kila mtu anakuja kutujaribia theory zake ambazo hazijazaa matunda. Mapinduzi ya kilimo yatakuja vipi kama mfumo wetu wa elimu ni utitiri wa shule ambazo ni bora elimu?
Ni kweli kabisa Tanzania inahitaji mapinduzi ya kimaadili kama yaliyotokea CHINA.Kama mafisadi yangehukumiwa kunyongwa ufisadi ungekoma kabisa Tanzania.
 
Ni kweli kabisa Tanzania inahitaji mapinduzi ya kimaadili kama yaliyotokea CHINA.Kama mafisadi yangehukumiwa kunyongwa ufisadi ungekoma kabisa Tanzania.
Hawawezi kuhukumiwa kunyongwa kwa kuwa atakae hukumu au atakayesaini wanyongwe wote ni mafisadi.
 
Ni kweli kabisa Tanzania inahitaji mapinduzi ya kimaadili kama yaliyotokea CHINA.Kama mafisadi yangehukumiwa kunyongwa ufisadi ungekoma kabisa Tanzania.
Hakimu na JK wote ni mafisadi - kwa hiyo hawawezi kuhukumiwa kunyongwa
 
Bango lingine "TANZANIA BILA UFISADI INAWEZEKANA - MWANANCHI CHUKUA HATUA"

na "UFISADI NI UUAJI"
 
Back
Top Bottom