Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Tumeusema sana Utawala wa Kikwete. Hauna dalili yoyote ya kubadilika. Sasa ni time for action. Hatutaki kusubiri 2010. Wengi wanasupport maandamano yetu Kuupinga Utawala wa Kikwete kama ilivyojitokeza ktk thread iliyopita. 'Watanzania si mabwege tena'.
Sasa tunakusanya mawazo ya mabango tutakayobeba. Please, toeni maneno ya kuandika katika mabango hayo. Maneno yawe machache yenye ujumbe usiojificha na mkali kwa mfano: 'Viongozi Mnatusababishia Umaskini'
Mawazo yenu pse.
Sasa tunakusanya mawazo ya mabango tutakayobeba. Please, toeni maneno ya kuandika katika mabango hayo. Maneno yawe machache yenye ujumbe usiojificha na mkali kwa mfano: 'Viongozi Mnatusababishia Umaskini'
Mawazo yenu pse.