Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,198
- 162,741
Tutaunda Tume kuchunguza.
Wanasema maeneo waliyopangiwa wanapata hasara hakuna biashara.Ila hao wamachinga nao sio wastaarabu ulishapewa ultimatum na ukaongezewa muda kwanini usiondoke kwenda eneo ulilopangiwa?
Yanateketea au yamepigwa nali na manispaa![]()





ramli chonganishiiNi uongo mkubwa. Hivi wakienda huko na wanunuzi si lazima wawafuate huko huko tu?Wanasema maeneo waliyopangiwa wanapata hasara hakuna biashara.
Kwahiyo wamewachomea?Ila hao wamachinga nao sio wastaarabu ulishapewa ultimatum na ukaongezewa muda kwanini usiondoke kwenda eneo ulilopangiwa?
So unaona ni sahihi kuchomewa moto kwakua tu walishaambiwa waondoke?Kuna kuondolewa kwa aina nyingi, sasa sijajua uwezo wako wa kupambanua mambo
Mimi sijui mkuu. Yawezekana wamechoma wenyewe ili watafute kisingizio.Kwahiyo wamewachomea?
Kistaarabu kivipi?..Tarehe 31/october si ishapita.Hivi si watoane tu kistaarabu kuliko kutiana hasara hivi? Pesa ngumu jaman
Mama anajenga uchumiHii mioto mbona imetamalaki hivi!!
Sio kazi ya Serikali kumfanya kila mfanyabiashara kupata faida..japo Serikali ingependa iwe hivyo.Wanasema maeneo waliyopangiwa wanapata hasara hakuna biashara.
Machinga wabishi Sana,Acha wapigwe kwenye mshono ili akili iwakae sawaHivi si watoane tu kistaarabu kuliko kutiana hasara hivi? Pesa ngumu jaman
Mkuu hivi so far Makala ameweza kufanikiwa japo kwa asilimia 60 kwenye hili swala?..if you're in DSM.Wale wa karume kule sokoni wajiandae!!!!KAZI IENDELEE!!