Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Hahahaa atakuwa bado anatumia ule mtandao wa chato, sasaivi netweki ipo msoga bana bando bei chee!Rudi Msoga kumenoga
Kuna mkuu wa mkoa sio kada wa CCM? Yaani kabisa unataka kusema Amos Makalla sio kada?Hilo haliwezekani.
Pengine hamkuona uozo uliokithiri wa kuyafanya masoko kuwa magulio ya mateja,mama lishe, chinga na uozo mwingi.
Sasa ukimuweka kada wa CCM ndio unaingiza siasa kwenye uendeshsji wa miji, kosa kubwa alilofanya Magufuli.
Alikuwa na mkopo Bank alikimbia kulip deni alijifanya anakwenda kulima mpunga mbeya na akafeli mwisho wa siku walitaka kupiga mnada mashine zake za mpunga na Lodge mvomero aliomba sana washikaji zake wakaqa wanamchamgia kulipa bi mkubwa akapelekewa jina ili amnusuru kijna ndio akapewa u RC WA DSM NDIO PONA PONA YAKE kajaza mashavu na kalimatiHuyu Wa sasa kwa kweli Daah anahitaji watu wa kumpa amri kama aliyopewa leo RC kule Bunda, Mkoani Mara! Huyu wa Dar ni jeuri, aliejaa kiburi, mjivuni, hovyo kabsaaa. Ni mtu asie jari maisha ya Watanzania wengine, anajiona anakibari sana mbele ya Mh Raisi wetu SHS hafai hata kidogo kuwa mkuu wa Dar
Kuna mkuu wa mkoa sio kada wa CCM? Yaani kabisa unataka kusema Amos Makalla sio kada?
Suala la soko la karume kuungua moto ikiwa ni muda mfupi tu baada ya soko la kariakoo kuungua moto linaweza kuja na taswira mpya ya baadhi ya watendaji kuwajibishwa.
Moja ya watendaji ambao naona wakiwajibishwa ni RC wa DSM ikiwa ni njia ya kuponya majeraha ya maumivu kwa machinga.
Naona pia wenyeviti wengi wa mikoa wakiwa wakuu wa mikoa mbalimbali
Si ajabu ukakuta we ni swahiba wake wa karibu unamuanika mshikaji wako jamviniAlikuwa na mkopo Bank alikimbia kulip deni alijifanya anakwenda kulima mpunga mbeya na akafeli mwisho wa siku walitaka kupiga mnada mashine zake za mpunga na Lodge mvomero aliomba sana washikaji zake wakaqa wanamchamgia kulipa bi mkubwa akapelekewa jina ili amnusuru kijna ndio akapewa u RC WA DSM NDIO PONA PONA YAKE kajaza mashavu na kalimati
over my dead body.Namuona Paschal Mayalla nguli wa sheria na utangazaji