Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,421
Wewe uliajiriwa halmashauri gani ndugu?Ajira zipo but mpaka July na wataajiri walimu wote wenye sifa stahiki
Wewe uliajiriwa halmashauri gani ndugu?Ajira zipo but mpaka July na wataajiri walimu wote wenye sifa stahiki
hakunaa we inaonesha ni mvivuuu piga kaz unataka waje uangushiee au unataka uchaguee mtoto mbichiiiiimimi nipo kazini! Ila nauliza kwa mustakabali wa Taifa!
wataanza kuajiri walimu wa masomo ya sayansi, walimu wa masomo ya arts wametosha maana wamegundua wengi wao wana vipidi 4 hadi 6 kwa wiki badala ya vipindi 30
Haupo kazin uko tempo ww coz bado hujawa mfanyakazi,ajira zenu zko kwenyebmchakato zitaachiwa kuanzia march 16mimi nipo kazini! Ila nauliza kwa mustakabali wa Taifa!
kaka unauhakika ni tr 16 lakini?
Tulia ww mambo yameshakuwa tayari muda wowote kuanzia sasa yataachiwa majinawangezitangaza kila MTU ajue huko aendako....then Mimi naona tamisemi pia NI jipu magufuri inabidi afanye ziara ya kushitukiza hapo
Process za ajira zenu zimekamilkka nduguHajasema tarehe 16 amesema kuanzia tar 16.
Any way uhakika aupate wapi?