Mabadiliko ya Tarehe Ajira za Walimu

Mabadiliko ya Tarehe Ajira za Walimu

mnalilia ualimu na uku wengine wanatoka katika kada hii na kuwa waendesha bodaboda.......!!?..hii ni hatari ni bora ujipange kivingine.....
 
Kwa kawaida Ajira za Walimu zilikuwa zikitoka January na Walimu walikuwa wakiwasili vituoni walipopangiwa mapema Mwezi wa Pili, lakini kwa miaka takriban mitatu iliyopita kuna Mwezi mmoja mmoja unasogezwa mbele juu ya Ajira za Walimu! Mathalan; Walimu wapya walienda vituoni kama ifuatavyo:-
2012 reporting ilikuwa February (kama kawaida) ila kuanzia:
2013 reporting ilikuwa March
2014 reprting ilikuwa April
2015 reporting imekuwa May
Mwenye taarifa sahihi juu ya Mabadiliko haya naomba tuelimishane. Maana mimi sielewi ni nini hapo!
 
Jiajirini wenyewe, Magufuli hana kabisa mpango wa kuajiri,mzigo wa mishahara ni mkubwa sana, serikali yake inabana matumizi


Ni kweli na sasa kuna walimu wengi wa ziada kwenye masomo ya sanaa. Labda wasubiri hivyo viwanda vianzishwe ndo watu wapate ajira huko.
 
unaweza ukawa tamisemi na usijue ajira zinatoka lini. Uhakika ni feb mkuu. Dont ask why.
si umemsikia kasim majaliwa leo kwenye dira ya mchana ya tbc...kasema ajira mwezi wa ngapi eti?au anautani na wale wazee?kasema jully au maskio yangu mabovu?
 
si umemsikia kasim majaliwa leo kwenye dira ya mchana ya tbc...kasema ajira mwezi wa ngapi eti?au anautani na wale wazee?kasema jully au maskio yangu mabovu?


Daah na mimi nimesikia nawaza hatari.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa anaongea na Wazazi mkoani Ruvuma katika ziara yake ya Serikali mkoani humo. Amesema serikali itamaliza tatizo la uhaba wa waalimu na hasa wale wa sayansi pindi itakapowaajiri julai mwaka huu.

Source: Dira ya Mchana TBC1
Kwa kawaida Ajira za Walimu zilikuwa zikitoka January na Walimu walikuwa wakiwasili vituoni walipopangiwa mapema Mwezi wa Pili, lakini kwa miaka takriban mitatu iliyopita kuna Mwezi mmoja mmoja unasogezwa mbele juu ya Ajira za Walimu! Mathalan; Walimu wapya walienda vituoni kama ifuatavyo:-
2012 reporting ilikuwa February (kama kawaida) ila kuanzia:
2013 reporting ilikuwa March
2014 reprting ilikuwa April
2015 reporting imekuwa May
Mwenye taarifa sahihi juu ya Mabadiliko haya naomba tuelimishane. Maana mimi sielewi ni nini hapo!
 
Hakuna kitu knachouma kama mtu kutoifanyia kaz taaluma yake na kwenda kufanya kaz kwa kitu ambacho hajakibobea. Mie huwa najihs hatia kubwa sana.
 
Back
Top Bottom