Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,505
- 41,016
- Thread starter
- #301
Migodi ya dhahabu Tanzania ipo mingapi? Na nje ya hiyo migodi ya makampuni niliyoyataja, hiyo mingine inazalisha kiasi gani? Kwa maana ya migodi hasa, mgodi nilioacha kuutaja ni wa Shanta Mine, uliopo Chunya, ambao ni wa kati. Iliyobakia, mingi ni workings, na watu wanaoprocess tailings.Inakuwa Kama umerogwa, Nani kakuambia migodi nchi hii iko mitatu tu? Kwa taarifa yako hela inayovunwa na serikali kupitia soko la dhahabu la Geita Ni zaidi ya mapato ya hiyo migodi unayoitaja,
Jiulize tailings zinatoka wapi? Workings nyingi zinafanyika kwenye maeneo yaliyofanyiwa utafiti na nani? Nje ya hawa niliowataja, wengine wote, hakuna mzalishaji anayetoa hata 10% ya hao wazalishaji wakubwa.
Nakuuliza sustainability ya production lakini unatoa majibu ya kejeli. Basi, endelea kuamini kuwa makampuni yote yanaweza kuacha uzalishaji na bado uzalishaji na mauzo ya dhahabu utaendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka.