misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,643
- 9,339
Kumbe anafanya lobbyingMleta Mada nimeshakufahamu,unaishi Perth kwa muda sasa ila unawekeza Afrika pia!Heri ya Mwaka mpya.
Kumbe anafanya lobbyingMleta Mada nimeshakufahamu,unaishi Perth kwa muda sasa ila unawekeza Afrika pia!Heri ya Mwaka mpya.
Mpinge kwa hoja na takwimu. Huu uzi si wa kitoto.Mwajitekenya na kucheka wenyewe, mtapata taabu sana vibaraka vya wanyonyaji, zoeeni tu, waambieni wazoee, hakuna mali ya Tanzania itavunwa kivile tena na tuko tiari kupay the price "wapumbavu" nyie mlotusababishia, tumefunga mikanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini takwimu za serikali zinaonyesha hapo kabla tulikuwa hatupati chochote japo uzalishaji ulikuwa juu kitakwimu. Faida yote walikuwa wanaondoka nayo.Bams,
Kumbe bado tuna watanzania wenye akili namna hii? Nimekuelewa sana. Only a fool will argue otherwise.
Usidanganyike. Ongezeko na thamani ya mauzo, kwa kiasi kikubwa limetokana na ongezeko la bei ya dhahabu Duniani.Lakini takwimu za serikali zinaonyesha hapo kabla tulikuwa hatupati chochote japo uzalishaji ulikuwa juu kitakwimu. Faida yote walikuwa wanaondoka nayo.
OP a nakwambia yalikuwepo makampuni mengi zaidi ya 150 ya kufanya utafiti wa madini.Weka usahihi wa kitakwimu mwanzoni kabla ya sheria mpya amabayo ulioanza kumshambulia Professor Kabudi kutumika tulikuwa tunaingiza kiasi gani na baada tunaingiza kiasi gani?
Bila kuleta mahesabu itakuwa unatumika(puppet) wa mabeberu.
Mbona wezi bado wapo?! Unadhani Lowassa alikuwa tajiri kwa kuuza snafu za chama?!Umetumwa wewe si bure. Tumeibiwa vya kutosha, huu ni muda wa kula matunda