Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,268
- 1,652
Aisee! Umemkata vibaya sana kilimilimi chake. Mwenyewe alikuja vizuri na kwa uhakika kuwa yeye ndiye mwenye kuelewa hii Business kuliko wengine wote. Jamaa Falah sana.
Umemuumbua vizuri!
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wansema biashara sio sustainable any more wakati huo tume hit 2.1 BIL USD in 2019,Haya ni Mafanikio makubwa , something we can show hata kwa hao mabeberu , Magufuli akae na hawa watu wa migodi na wafanya biashara wa madini wote awashukuru na kuwa hakikishia kuwa uwekezaji Tanzania ni salama na watumie masoko yaliofunguliwa kuuza dhahabu au Tanzanite zao, pia awaambie kuwa we expect much about 3 BIL USD this year ,serikali acheni kulala hii ni January , ila kwa ufupi Magufuli ni game changer.