deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habari wadau,jana ITV walitangaza kua kuanzia tr 1 june masafa ya kuwapata kwa dish FTA yatabadirika jee mie niliwapata. Kwa Mediacom 930 MPG 2, kwa mabadiriko hayo naweza kuwapata tena?
Ina maana kwamba hawajatoa muongozo kamili
Intelsat 22/72,deg e,freq 3671 MHz,symbolat 8571 ksps, fec 2/3 horizontalUngeziweka hapa hizo frequency ama details walizotoa utapewa jibu.
Saidia mtaalamu Nina Mediacom 930 MPG 2 ninaipata mpaka muda huu,jee tr 1 naweza ipata kwa masafa hayo mapya?Ungeziweka hapa hizo frequency ama details walizotoa utapewa jibu.
Mkuu nimeangalia hapa chanell zote ni mpeg 4Intelsat 22/72,deg e,freq 3671 MHz,symbolat 8571 ksps, fec 2/3 horizontal
Mkuu nimeangalia hapa chanell zote ni mpeg 4
https://www.lyngsat.com/Intelsat-22.html
Jiandae kisaikolojia tu.
Au ununue mpeg4?Ahsante sana,najipanga kuleee star times
inamaana mbaka uwe na mpeg 4Ahsante sana,najipanga kuleee star times
mm nikajua wanahamia dish Dogo???? na haiwezekani kwa Hilo?Au ununue mpeg4?
Nilinunua kama miaka 4 iliopita 80k pengine sasa hivi unapata hata chini ya hapo.
Azam ni dishi dogo na pia ni mpeg 4,mm nikajua wanahamia dish Dogo???? na haiwezekani kwa Hilo?
Mkuu nimeangalia hapa chanell zote ni mpeg 4
https://www.lyngsat.com/Intelsat-22.html
Jiandae kisaikolojia tu.
Azam ni dishi dogo na pia ni mpeg 4,
Na kwenye hio site pia wameonyesha unaweza kuipata kwa ku
Huyo anazungumzia dishi lake dogo, wewe si tayari una dishi lako? Upgrade tu receiver.Kwahiyo ni MPG 4 na Ku ndiyo naweza pata local zote? Niandae tsh ngapi?
Hapo naona za kenya tu, ila sababu ITV inahama inamaana capital na Eatv pia zinahama. Sijajua wengine.Za bongo gazipo hapo? Chanel bro
Hao ndiyo wasimamizi wa masafa au ni akina nani?Hapo naona za kenya tu, ila sababu ITV inahama inamaana capital na Eatv pia zinahama. Sijajua wengine.
Zote hapo ni MPG 4 tuu,bongo walibaki IPP tu wote walishahamia huko kitambo naona zamu imefikaa duuhHapo naona za kenya tu, ila sababu ITV inahama inamaana capital na Eatv pia zinahama. Sijajua wengine.
Jaribu kutafuta fundi kama kuna satelite karibu na hiyo intelsat 22 anaweza akakusetia ukapata satelite zaidi ya 1 kwa dekoda moja ili uongeze idadi ya tv.Zote hapo ni MPG 4 tuu,bongo walibaki IPP tu wote walishahamia huko kitambo naona zamu imefikaa duuh
Kwa risiva gani sasa mpg2 au mpg 4 maana Mimi mwenyewe fundiJaribu kutafuta fundi kama kuna satelite karibu na hiyo intelsat 22 anaweza akakusetia ukapata satelite zaidi ya 1 kwa dekoda moja ili uongeze idadi ya tv.