Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 25
Ni utaratibu uliojengeka hapa nchini Tanzania na kwa nchi nyingi za Kiafrika kubadili majina ya Makampuni yao. Ninashindwa kuelewa ni kwa nini wanafanya hivyo. Ipo mifano mingi ya makampuni yaliyobadili majina yao kwa mfano:
- Mobitel kuwa Buzz na sasa Tigo
- Cetel kuwa Zain
- Sheraton kuwa Movien Peak
- Kilimanjaro Hotel kuwa Kempinsky
na mengineyo. Kuna nini? Au ni kamtindo ka kukwepa kodi kwa kupewa Grace Period ya miaka kadhaa.
- Mobitel kuwa Buzz na sasa Tigo
- Cetel kuwa Zain
- Sheraton kuwa Movien Peak
- Kilimanjaro Hotel kuwa Kempinsky
na mengineyo. Kuna nini? Au ni kamtindo ka kukwepa kodi kwa kupewa Grace Period ya miaka kadhaa.