Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
Miaka ya 60,70 na kidogo 80 maana ya familia ilikuwa baba, mama na watoto. Wanaume hawakujiuliza mara mbili kuoa mjane aliyeachwa na watoto.
Siku hizi kuna wamama waliojichagulia kuwa single parents. Ndoa za kuoa single parents ni chache kwakua sikuhizi watu wana chuna mabuzi.
Unakuta single parent huyu wa kujiamulia anatumia muda wake mwingi kutafuta kipato halali na watoto wanakosa malezi. Mkiwa wazazi wawili ndani ya nyumba mnagawana majukumu.