domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Shukuru malaika wa mwanao waikua pamoja nae na akawaandaa watu lakini kuna some weeks was having Mgonjwa pale mambo hayakua mazuri bado nyodo bado zipo.So shukuru Mungu tu ndugu ndo kamwokoa.
Sema na wewe ulikuwa na bahati mbaya, mi nimeenda muhimbili huuma niliyopewa nikatamani kuwapa fedha nikawa nawaaangalia usoni pengine wanidai chochote lakini wala hawakuonyesha dalili. Kila mmoja alipomaliza kazi yake ali nipost sehemu nyingine, hiyo ni emergency! Yaani acha tu, labda kama wewe ulikwenda na 'attitude'