Nimeipenda hiyo NBUgali na dagaa mchele.
dagaa wa 500, nyanya2, carot1, na kitunguu maji1 na kipande cha limao/ndimu
Kwenye jiko la gesi ni dk5
NB: MBOGA NA UGALI VINALIWA KWENYE VYOMBO VILIVYOPIKIWA KUPUNGUZA KAZI YA KUOSHA VYOMBO
View attachment 1565836
Ugali maziwa🤤🤤🤤Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika?
Asanteni
Chips kukata iwe kazi siku hizi mpaka utunze kwenye friji? Nunua chips cutter zinakata chips haraka sana na kupika nunua Deep fryer inayotumia mafuta kidogo yaani chips ndani ya dakika kumi unakula chips mpya na zimepikwa kitaalamu.Chips unazikata na kuzifroze,kisha utakuwa unachukua kidogo kidogo unafry,
Kufroze chips,,menya viazi,kata chips,zioshe kuondoa starch,kisha zidumbukize kunako maji yaliyochemka kwa dakika 2,zitoe,ziloweke katika maji baridi jwa dakika moja,kisha zipaki kwenye container be mfano hili.
View attachment 1515453
Weka kunako deep freezer
Nunua vifaa vya kupika haraka hutajutia, angalia kitchen gadgets hauna jikoni kwako nunua ufanye upishi wako kuwa wa kisasa na haraka, mfano deep fry unakaangia, oven unachoma na kuoka, vikaango nonstick unakaangia kwa haraka na kuosha kwa urahisi, sufuria nonstick zinapika haraka na kuosha kwa haraka.Yan unaweza anza kupika saa1 alafu unakuja kula saa4 uko tena una kula dak10 inabowa sanaaaa
Jibu zuri nimekupendaNdizi changanya na viazi
Ni mbayaaaazipo hivi hua zina uzwa mia5 tu madukani zina cover la njano
zina flavour ya kuku na pilipili
Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
Na mtindi wa mara milkPika ugali kwenye jiko la gesi then pitia bar ununue mbuzi chom kwenye foil
Ngoja ni update hii,siku hizi kuna mishkaki ya kuku pia ,mmoja 1000 na unapiga na ugali ,ukipata na ndizi moja ya kuiva,unashushia na maji glasi nzima,lazima ucheue mpaka majirani wanune...Pika ugali kwenye jiko la gesi then pitia bar ununue mbuzi chom kwenye foil
Huku mshikaki wa kuku ni 1500Ngoja ni update hii,siku hizi kuna mishkaki ya kuku pia ,mmoja 1000 na unapiga na ugali ,ukipata na ndizi moja ya kuiva,unashushia na maji glasi nzima,lazima ucheue mpaka majirani wanune...