usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,869
Sijui ntaanzia wapiutanieleza
Sijui ntaanzia wapiutanieleza
Yani nitakufurahisha siku iyoo 🤔Cjui ntaanzia wapi
Mm nilijenga urafiki na mama mmoja muuza ndizi nilikuwa na namba zake nikihitaj ndiz nampigia simu mapema kabisa nilikuwa namuomba animenyee so alikuwa anamenya nikifika nachukua mzigo wangu nikifika home nikuosha na kupika fasta tuYan mwanzo nilikua na rice cooker inapika wali tu, nikala wali had nikachoka nikaanza kurud hotel,,, badae nikaja kununua pressure cooker ya umeme kwaajili ya kupika vyakula vigum kama nyama,maharage,ndiz dah sasa nikashindwa kumenya ndiz,kuchambua maharage nikaamua ile rice cooker napikia wali alaf ile pressure cooker napikia samaki,,,, ila chakula cha aina moja kinachosha Sana hata wali samaki yenyew nimechoka pia
Ngoja nijaribu hiyo imekaa vizur, kwa wauzaj inawezekana pia hiyo huduma kupatkanaMm nilijenga urafiki na mama mmoja muuza ndizi nilikuwa na namba zake nikihitaj ndiz nampigia simu mapema kabisa nilikuwa namuomba animenyee so alikuwa anamenya nikifika nachukua mzigo wangu nikifika home nikuosha na kupika fasta tu
Ila inabid ujiongeze siku moja moja unamtoa jero sio mbaya
Fanya hivyo biashara ushindan mwambie kuwa unapenda ndizi ila kumenya ndo changamoto na unamhakikishia utakuwa mteja wakeNgoja nijaribu hiyo imekaa vizur, kwa wauzaj inawezekana pia hiyo huduma kupatkana
Haina noma mbaba kula hotel kila siku gharama ni kubwa sanaFanya hivyo biashara ushindan mwambie kuwa unapenda ndizi ila kumenya ndo changamoto na unamhakikishia utakuwa mteja wake
Milifanya hivyo hadi kwa wauza mboga za majan nilikuwa napiga simu inaandaliwa inachambuliwa na kukatwa mm nachukua naosha napika dk chache tu unatoka jikon
Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika?
Asanteni
Ugali na dagaa mchele wa 500.
dagaa wa 500, nyanya2, carot1, na kitunguu maji1 na kipande cha limao/ndimu
Kwenye jiko la gesi ni dk5
NB: MBOGA NA UGALI VINALIWA KWENYE VYOMBO VILIVYOPIKIWA KUPUNGUZA KAZI YA KUOSHA VYOMBO
Aina ya jamNutela ni nini? Hivyo vingine ninavyo,vinafaa asbh na ikitokea jioni sometimes sawa lakini sasa ndio uwe unalalia kila siku ni utadhoofu Mkuu?
"If man made it, don't eat it"Nunua nutela, nunua mkate mzur mlaini, blue band. Uwe na kahawa na nido. Asee utaishi maisha rahis snaa, yaani we ni kuchemsha maj tu na kupaka mkate kwisha. Hyo u apiga asubuh na usiku, kama simple snack.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chips unazikata na kuzifroze,kisha utakuwa unachukua kidogo kidogo unafry,Chips...tabu kumenya viazi
Ndizi mzuzu za kukaanga + juice ...hazisumbui kumenya
Mchemsho wa ndizi na nyama... Hawa majirani zangu wanaita machalali ila tabu kumenya ndizi
Coffee/ Green tea zile za tea bags + mkate/cake
Simple way ni kula mgahawani kama unahisi tabu kuosha vyombo or process za upishi
Anaongelea noodlesSuper ...
Tambi ndogo ndogo zipi? Unasemea zile za macaroni au
Zinaitwa noodles,zipo hivi hua zina uzwa mia5 tu madukani zina cover la njano
zina flavour ya kuku na pilipili
Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro