Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Eeeh!So exciting
Kwa hiyo mkuu
Huo msosi wote unaliwa kwenye mlo mmoja ?
Hahaha mlo mmoja ndio kwan hapo si wali, mboga ya majani, samaki na tunda?
Eeeh!So exciting
Kwa hiyo mkuu
Huo msosi wote unaliwa kwenye mlo mmoja ?
Your kidding, right?asubuhi nikitaka kupika uji nachemsha maji ya moto natia kwenye brenda na kiporo cha ugali cha jana usiku dakika 1 tu uji tayari ubachela raha sana
Hata kamaEeeh!
Hahaha mlo mmoja ndio kwan hapo si wali, mboga ya majani, samaki na tunda?
Sasa humalizi kivipi?Hata kama
Mimi huo msosi simalizi
Wapi uko dagaa mchele 500?Ugali na dagaa mchele wa 500.
dagaa wa 500, nyanya2, carot1, na kitunguu maji1 na kipande cha limao/ndimu
Kwenye jiko la gesi ni dk5
NB: MBOGA NA UGALI VINALIWA KWENYE VYOMBO VILIVYOPIKIWA KUPUNGUZA KAZI YA KUOSHA VYOMBO
Ndiyo maana huwa unajamba sanaHahaha mbona makapi, aisee kila muda kukaa jikon ni kipaji hicho kimenishinda. Nakula tu makapi na viporo.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Dar nzima wanapatikana mkuu.wapi uko dagaa mchele 500?
Umemdhikahi Rais avatar yako inasemaHu uzi c wangu mana mm co bachela
121.
Elfu moja acha kudanganya watuDar nzima wanapatikana mkuu.
Mi nimetaja bei ya huku kwetu Sutimbi, so kama kwenu wanauza buku ni sawa.Elfu moja acha kudanganya watu
Swez mwaga kiporo cha wali maharageMabachela mzingatie usafi, mlo kamili na muache kupenda viporo.
😅😅Swez mwaga kiporo cha wali maharage
imagine umenipikia alaf nimwage et
Basi pika kiasi usipike kingiSwez mwaga kiporo cha wali maharage
😅😅utanieleza🙄imagine umenipikia alaf nimwage et
Sasa napika kias halaf namaliza na asubuh tena n kitamu sanaBasi pika kiasi usipike kingi