Dawa ya Mjinga
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 382
- 147
wenye digital receivers (decoder au receiver za dish za kawaida) mni-PM niwaelekeze jinsi ya ku-delete channel maana nilijifunzia wakati nai-delete TBC1 na TBC2 kutoka kwenye Startimes Decoder na receiver ya dish sebuleni kwangu kama miezi 8 iliyopita.
Mkuu, wewe (mgosi) mwaga maelezo hapa hapa usingojee waku-PM. Hatujui siku na saa ambayo kila mmoja atayahitaji maelekezo yako ya kuiondoa TBCCM. Fanya hima tuweke na akiba ya siku zijazo. Inawezekana mimi sina hizo decoder au receiver lakini jirani, ndugu na jamaa zangu waweza kuwa navyo, nitawasaidia kutekeleza azimio. Tafadhali.