Mi naanzaga kwa fujo kama.wiki tatu hivi halafu ntakavyoacha hata sitajua nimeachaje na nina gym nyumbanMoja ya maazimio makubwa ambayo watu huweka ni mazoezi/kupunguza uzito lkn mpaka sasa wengi washaacha hayo mazoezi uchwara
Chakuambiwa changanya na chako mkuu, na wengine wanasema pia ni weweKuna watu watasema huyo jamaa ndio wewe