Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,269
- 105,439
Huyo mtangazaji wa TBC anakwambia "Ikiwa ni takriban miezi miwili imebakia, tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu, hapa nchini"
Hivi hawa jokers wanawatoa wapi? Huyu ngumbaru anajua Kiswahili kweli ? Anajua tofauti ya tangu na mpaka ?
Hivi hawa jokers wanawatoa wapi? Huyu ngumbaru anajua Kiswahili kweli ? Anajua tofauti ya tangu na mpaka ?