Kama kweli wewe ni Mkristo lazima ujue namna neno la Mungu lilivyotufundisha kuheshimu viongozi wetu. Wewe ni nani uwakashifu hivyo hawa watumishi wa Mungu. Pia haya mambo ya dini ni very sensitive lazima wakristo tuwe waangalifu.
Shetani anataka kutumia nafasi hii kuleta shida miongoni mwetu mwenye masikio na afahamu.
Pia nyie mnaomuhukumu Ask Gwajima au Ask Pengo muache mara moja. LOLOTE LINAWEZA KUKUPATA HAWA WATUMISHI WATAKAPOLIITIA JINA LA BWANA. Mungu atawapatanisha watumishi wake kwani yeye ndio anawajua na yeye ndie aliwaita. Yoyote atakaemsaidia Mungu atapigwa IKABODI. (Be careful and mark my words).
Moreover Mimi sisal kwa Ask Gwajima wala Pengo wala makanisa uliyoyataja! Nina wapenda hawa watumishi kwa nafasi zao na kwa wakati Mungu alipowatumia.
Queen Esther[/QUOTE]
Yaan we ndo huelewi kabisa.
Huwa sipend kuchangia mijadala ya aina hii ila naomba nikueleweshe kidogo.
kauli ya kwamba
hawa wote ni watumishi wa Mungu si kweli.
Ukweli ni kwamba Mmoja
ni mtumishi wa Mungu na mmoja
si Mtumishi wa Mungu AU pia inawezekana wote wakawa si watumishi wa MUNGU.
Nakuachia wewe ung'amue yupi ni mtumishi wa kweli na yupi si mtumishi wa kweli.
Usiwe na imani ya woga. usiogope adhabu au ghadhabu ya Mungu kama unasimamia ukweli.
Usiogope kumsema mtu anayejiita mtumishi wa Mungu kama anaendana kinyume na utaratibu wa Mungu.
USIWE MWOGA. SPEAK YOUR MIND.
Kwa akili ya kawaida tu jiulize mtumishi mmoja hawezi kutumwa na Mungu Mmoja kwenda kumtukana Mtumishi mwingine wa Mungu huyo huyo kuwa ni mpuuzi,mjinga, hafai, aende akalime aache utumishi......na matusi mengine mengi anayodai katumwa na Mungu awataarifu waumini zake.
Kwa logic ya kawaida kabisa hawa wawili hawawezi kuwa watumishi wa MUNGU MMOJA.
think.open your mind. mtafute Mungu ndani ya Moyo wako.usibabaishwe na wababaishaji na mwisho kabisa achana na IMANI ya WOGA. Hata Mungu aliyekupa free will na thinking capacity akakuweka huru kwa kifo cha Mwanae Msalabani HAPENDI IMANI YA WOGA.