Maaskofu wa mitaani, mjipime

Maaskofu wa mitaani, mjipime

alichofanya gwajima sio sahihi lakini msimamamo wa kadinali pengo ndio mbaya kabisa sikutegemea kiongozi wa juu kama kukurupuka na maamuzi kama hayo labda ni msimamo wake kama pengo sio kanisa katoliki msimamo wa kanisa katoliki juu ya katiba pendekezwa unajulikana

Tuwekee hapa msimamo wa TEC nao tuuone. Acheni kulazimisha yaliyoko vichwani mwenu ndo uwe msimamo wa Kanisa Katoliki. Na kuanzia sasa jaribu kufahamu kuwa Jukwaa la Wakristo halisimamii Kanisa Katoliki..Jifunze mambo haya.
 
Maneno uliyotumia ni ya kuudhi na kujifanya unajua. Kristo hakulaani na we usilaani. Na hatutalaani kamwe. Kama hujui usiandike.
Kwa "Askofu" anaye wapeleka kondoo zake tofauti na njia ya uzimani, thats the least we can say.
 
Huwezi kuita kiongozi wa wenzako ni wa mitaani, inamaa hata wanaoenda pale na wenyewe umewadharau ni wa mitaani...

Licha ya hivyo hayo ni maoni yako kwa hiyo sio lazima watu wawaze kama wewe...
Wale wa "Askofu" Kibwetere walisema hivyo hivyo, na mwisho waliangamia.
 
Huna hoja ya msingi ndugu yangu. Pengine ungetumia "polite language" watu wangekuelewa. Huu si wakati wa kupumbaza watu wanaoelewa. Makanisa hayakushuka duniani zaidi ya watu kukaa na kuweka taratibu. Ndo maana kuna mikutano ya maamuzi ya makanisa mbalimbali. Na tunakokenda usiishi kidini ndani ya Ukristo. Ukristo wa kujitenga umeisha. Ndo maana siku hizi maaskofu wana common understanding juu ya Ukristo.
Kwa "Askofu" anaye wapeleka kondoo zake tofauti na njia ya uzimani, thats the least we can say.
 
Huna hoja ya msingi ndugu yangu. Pengine ungetumia "polite language" watu wangekuelewa. Huu si wakati wa kupumbaza watu wanaoelewa. Makanisa hayakushuka duniani zaidi ya watu kukaa na kuweka taratibu. Ndo maana kuna mikutano ya maamuzi ya makanisa mbalimbali. Na tunakokenda usiishi kidini ndani ya Ukristo. Ukristo wa kujitenga umeisha. Ndo maana siku hizi maaskofu wana common understanding juu ya Ukristo.
Mkuu wewe ni Gwajima mwenyewe au vipi?
 
Haya mambo sio kuwa yameanza zama hizi hapana yameanza tangu enzi hizo kinwchofanya kwa sasa kuonekana kama ni usanii ni kwa sababu watu wanaanza kujitambua zama za ujinga zinapita
 
Wale wa "Askofu" Kibwetere walisema hivyo hivyo, na mwisho waliangamia.

Kibwetere na Gwajima wanafanana vipi?! Kwani Kibwetere na yeye alikuwa haumi maneno?! Halafu hao wa Kibwetere walisemea wapi hayo maneno...

Au unaongea kwa hisia tu... bila ya ushahidi, kama unao thibitisha ya kwamba hata hao wa Kibwetere walisema hivyo hivyo...
 
Nyee na kutojua wengine wanajua. Tafuta magazeti yaliyoonyesha walaka kusomwa katika makanisa ndo useme kanisa lake halikubali.

Tofautisha TEC na Jukwaa la Wakristu mkuu halafu lete hapa saini ya Kardinal. Nasema ushahidi huo uko kwenye mihemko katika uhalisia haupo.
 
Mimi sikubaliani n Askofu Pengo lakini njia aliyotumia "Askofu" Gwajima haina upako.


Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako. Kutoka 20:12.

Baba yako ni nani na Mama yako ni nani!!

Kwa umri kati ya Cardinal Pengo na Gwajima, Gwajima hakustahili kumuambia Pengo maneno yale, kuvaa pampas.

Japo na mimi naona Pengo aliwageuka wenzie (uhuru wa kutoa mawazo) angeyaongea huko huko, maana naamini hadi kutoa tamko lile lazima kulikuwa na kupishana kwingi sana.

Mungu atusamehe sote..
 
Ask.Gwajima tunamfahamu wala msipoteze mada kuu.
Kibwetere na wafuasi wake walikuwa wa imani ya katoliki kama ask.Pengo.
 
Kwani Pengo alikuwa anapingana na walaka gani ndugu yangu. Na pengine hujajua jukwa la Wakristo ni mwamvuli wa makanisa yote. Tamko alilozungumzia Pengo ni la Jukwa la Wakristo na si la kanisa lolote.
Tofautisha TEC na Jukwaa la Wakristu mkuu halafu lete hapa saini ya Kardinal. Nasema ushahidi huo uko kwenye mihemko katika uhalisia haupo.
 
Kwani Pengo alikuwa anapingana na walaka gani ndugu yangu. Na pengine hujajua jukwa la Wakristo ni mwamvuli wa makanisa yote. Tamko alilozungumzia Pengo ni la Jukwa la Wakristo na si la kanisa lolote.

Twende polepole tutaelewana tu. Kwa hiyo unataka tuamini kuwa Jukwaa la Wakristu liko juu kimamlaka kwenye Mabaraza kama TEC au CCT? Hapa tena narudia, ufahamu msimamo wa mabaraza yote against msimamo wa Jukwaa lao. Ni simple sana hii kitu.
 
Maadui wa ask.Gwajima subirini Jumapili katika ibada; mtamjua Gwajima ni nani !
UJUMBE WAKE KWA KUZIMU YOTE UNAENDELEA
 
Hawa maaskofu ambao si mitaani ni mafisadi kama .... tena hata kutoa pepo au jini kwa jina la Yesu Kristo ni zero kabisa
 
Back
Top Bottom