[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif][FONT=arial, helvetica, sans-serif]Tanganyika Law Society, you guys make us (helpless wananchi) feel
proud that at least there are existing some remnants in the legal
fraternity who would still come to our aid at a great time of need
like this.
Ni kweli UWEZO MNAO wa kuifanya Tanzania yetu hii hii hapa kuwa mahala
pazuri sana kwa kila mmoja wetu kuishi raha mstarehe bila kilio cha
maonevu wala dhuluma. Pole pole wananchi tunaanza kuwatambueni umuhimu
wenu na huko mbeleni kidogo huenda pia tukaamua kuanza kuwathamini
kama taasisi muhimu katika ustawi mzuri wa taifa letu kwa ujumla.
Lakini hebu niambieni TLS ilikuaga wapi miaka yote hiyo tulipokua
tunanyanyaswa kushoto kulia na kusainishwa mikataba ya kitapeli kila
kukicha? Chonde msinyamazie hili swali langu kwa ni swali la wengi tu.[/FONT][/FONT]