mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,712
- 8,380
Kama tutaweza kuzidhibiti basi tuendelee kukopa!!jibu zuri so finally kwa mfumo huo tukope au tusikope ?
Kama tutaweza kuzidhibiti basi tuendelee kukopa!!jibu zuri so finally kwa mfumo huo tukope au tusikope ?
Hoja yenu kina nani?Kwahiyo tutaendelea kukopa mpk deni lifike kias gan ? ndo muache , maana hoja yenu ni tunakopa kwa vile hata waliotangulia walikopa ila hamfikiri deni linakuwa kubwa na lililopo tu hatulimudu
Kuandamana hakujawahi kuwa solution ya matatizo ndio maana watu hawatoki kwenda kuumizwa bure !!Sasa anataka nani aanze?
Kumbe hii ndio aina ya wapigania ndugaiWw ni puss¥ tu , ndio maana hata panya road wanakuingizaga chini ya bajaj confidence 0%
We mwenye ndefu nenda kaandamane bwana.una akili fup sana , sio kila kitu kimekaa kiushabiki , mimi ni chadema ila siung mkono huo ujing
Kuna pesa za HEET. Mazingaombwe yake siyaelewi hata kidogo.Kukopa ni lazima na sio mbaya kama pesa zitatumika kama inavyokusudiwa, lakini tatizo ni katika hayo matumizi, wapo wale wanaoitwa wajanja wanazisubiri kwa UDI na uvumba !!
Aendee tu...yeye ndo alikuwa hatak maon huru ya wabunge...lkn hata kaul aliyotoa ilikuwa na maslai yake binafsii..mbona kpnd cha mwendazake alikuwa anakopa lkn kauli kama hiz alikuwa hazitoi..hii inamaana kwamba kuna namna alikuwa ananufaika na hii mikopo kwa kupewa %flan iv...sasa kpnd hik mama kaamua kumsusa ndo maana kajitoa shimon kuja kumfokea mamana kisasi chako ndo kinaenda kuuza na kubariki ukandamizaji wa uhuru wa maoni , hii migawanyiko ndo ililiuza bara letu , watu wakisema mzungu kwasabab ya hiki na kile wakaja kustuka mzungu kashajiimalisha , na hv tunavyomlea Mama kwasababu ya dhambi za Ndugai kabla hili tukio , ipo siki yatakukuta ndo utakumbuka
Upo sahihi.Kuandamana hakujawahi kuwa solution ya matatizo ndio maana watu hawatoki kwenda kuumizwa bure !!
Basi andamana mkuu..maana unaona kama nakubembeleza sanaHaujui unaloongea sababu umekariri matukio.
Hii ni mpya ndugu, subiria taarifa kutoka vyombo vya habari
Uko sahihi ndugu, Ila pamoja mapungufu ya Ndugai Kwa hili Jambo ni vyema Sisi Kama wananchi tukamuunga mkono hoja yake kuhusu tozo na hiyo mikopo
Nyie kipnd tulikuja na hoja ya UKUTA mlikuja na hojq zenu za kipuuzi na kututisha?sasa kaeni mkao wa kunawa mikono chakula kinaletwaUnaandika hoja za kitoto sana
Una shida ya uelewa,kwa hiyo hayo mahesabu makubwa ndio nini? Ulipo japo Hata huelewi hizo tozo ni Bei gani unajisemesha tuu.Hlf ndo nyinyi mnasema hatuwez kujiendesha kwa tozo wakati huo huo tozo mnaipangia mahesabu makubwa , mnakuwaga mmetumia mjani nn ?
Yanaongozwa na BavichaNiseme Kwa kifupi kwamba, Ndugai alitoa mawazo kuhusu mikopo ya nchi na tozo kuwakilisha kilio cha wananchi wengi, ila nasikitika kwamba ccm wameshinikiza ajiuzuru Kwa maslahi ya chama Chao.
Jambo kama hilo ni hatari Kwa watu wengine wenye mawazo mbadala katika kusemea matatizo ya wananchi wa hali ya chini.
Hivyo watanzania ni vyema tukaandamana kumuunga mkono Mh Ndugai Kwa uthubutu ule wa kuweza kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini, Pia kuwapa moyo watu wengine wenye mawazo mbadala kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini
Acha mambo ya kingese, wala haya ma attachments hayosemi chochote kuhusu covid. Tuliza msambwanda utoe hoja zinazohusiana na tukio husika.Wewe ni mbumbumbu,Samia ndio kaleta mfumuko wa bei? Hujui kwamba ni global issue iliyosababishwa na covid?
Usipate shida kama vipi hamia huku mfumuko wa bei uko chini Sana maisha ni simple
View attachment 2071484
View attachment 2071485
View attachment 2071486
View attachment 2071487
View attachment 2071488
View attachment 2071489
WaTanzania wepi waandamane,naona sasa miccm mnaanza kupata wazimu ,kama ni kuandamana basi ni madai ya Tume Huru ya Uchaguzi na Madai ya kuihitimisha na kuitimiza ile katiba Mpya.Niseme Kwa kifupi kwamba, Ndugai alitoa mawazo kuhusu mikopo ya nchi na tozo kuwakilisha kilio cha wananchi wengi, ila nasikitika kwamba ccm wameshinikiza ajiuzuru Kwa maslahi ya chama Chao.
Jambo kama hilo ni hatari Kwa watu wengine wenye mawazo mbadala katika kusemea matatizo ya wananchi wa hali ya chini.
Hivyo watanzania ni vyema tukaandamana kumuunga mkono Mh Ndugai Kwa uthubutu ule wa kuweza kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini, Pia kuwapa moyo watu wengine wenye mawazo mbadala kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini
Niseme Kwa kifupi kwamba, Ndugai alitoa mawazo kuhusu mikopo ya nchi na tozo kuwakilisha kilio cha wananchi wengi, ila nasikitika kwamba ccm wameshinikiza ajiuzuru Kwa maslahi ya chama Chao.
Jambo kama hilo ni hatari Kwa watu wengine wenye mawazo mbadala katika kusemea matatizo ya wananchi wa hali ya chini.
Hivyo watanzania ni vyema tukaandamana kumuunga mkono Mh Ndugai Kwa uthubutu ule wa kuweza kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini, Pia kuwapa moyo watu wengine wenye mawazo mbadala kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini