Jovegg
Member
- Nov 17, 2011
- 64
- 8
Majogoo waliamua kufunga barabara na kufanya uharibifu mkubwa kama kufukuafukua mashimo kwenye barabara ya Ilala Buguruni wakipinga matumizi makubwa ya mimba za wake zao.
Walipo ulizwa walidai ugomvi wao mkubwa ni wauza vipsi na waungwana wa ki2nda.
Wanachotaka ni angalau chipsi ifanywe yai moja na si mawili tena.
Walipo ulizwa walidai ugomvi wao mkubwa ni wauza vipsi na waungwana wa ki2nda.
Wanachotaka ni angalau chipsi ifanywe yai moja na si mawili tena.