SAMMOSSES:SISI huku shinyanga tulikwisha fanya maandamano ya kuikata serikali yake,maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana .kama rais anatoa ahadi hewa za kuwahada watanzania tunasubiri nini kama siyo kumuajibisha kwa kumpinga kwa maandamano makubwa.
Shime wanawadanganyika ifke muda tuseme basi,saa ya ukombozi wa kifikra imewadia tunasubiri nini.