watanzania wanaishi tanzania acheni ujinga wenu ninyi!
Maandamano ya ndani ya NCHI hayajaonyesha badiliko lolote la maana. Haya ya huko DC tutarajie nini? Mimi nawasubiri NATO wafanye kile walichokifanya kule Libya tu.
JK alipingwa na Waislaam wa kweli wegi sana.
Mwinyi, umesahau kibao alichonaswa Diamond?
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa
Walioko ndani ya Tanzania wengi ni mazuzu na akili yao bongolala. Hata kudai haki zao za kimsingi wanaogopa
Hamna lolote udin tu mnataka jk aonekane hafai subirin islamic jihhad znakuja kwa style hii mtaomba po wnyw
Jamani tunawatakiwa kila la heri tupo pamoja nanyi, na wengine tunakuja kushiriki pia.
kwakuwa wamejitambulisha kuwa ni watanzania basi wanaupokea ushauri wako Kushughulikia matatizo ya Uchumi ya Tanzania kwani wameona nchi yetu inavyo didimia
<br />Tunaona Vasco-Dagama anajaribu kukwepa mtego mzima. Wazalendo ndani ya Msafara wake wameshatutonya
Hayo yote uliyotaja ni wajibu wa Serikali kwa watu wake, si jambo la ajabu!
Ufisadi unalimaliza taifa, nguvu zote zitumike kuupinga na kuwashinikiza walioko kwenye Uongozi Serikalini kuchukua hatua na si kucheka cheka na kuorodhesha sekondari zilizoongezeka.