ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,974
Labda mfumo kristuMhimili namba 4 ndiyo nini?
Labda mfumo kristuMhimili namba 4 ndiyo nini?
Civil disobedienceHivi ukiandamana halafu ukapuuzwa unachukua hatua gani nyingine?
Je, maandamano ya madhara gani kwa walengwa.?
Nielimisheni wakuu.
Hujui lengo la maandamano. madikiteita hawawezi kutishwa na maandamano ya siku moja, Lakini this is the start!Madai yao yanatekelezeka?
Yatatekelezwa na nani?
Yatatekelezwa lini?
Yatatekelezwa wapi? Tz hii?
Yasipotekelezwa what is the next course of action?
Maandamano yalipeleka ujumbe kwa mhimili upi wa dola?
1. Utendaji?
2. Mahakama?
3. Bunge?
4. CCM?
NB
Kwa jinsi ya mfumo tunaoishi nao, namba 4 hapo juu nayo ni mhimili kamili.
Kwanini ni mhimili kamili?
1. Wapinzani waandamizi na wafawidhi waliotokea CCM kuunda upinzani wote wameendelea ku-retain kadi zao za uanachama wa mhimili namba 4. Mrema amekufa nayo, Kabourou amekufa nayo, Ndesa amekufa nayo, Kingunge amekufa nayo, Membe amekufa nayo, Maalim amekufa nayo, Wassira aliondoka nayo amerudi nayo, Lowassa aliondoka nayo amerudi nayo, Mgana Msindai aliondoka nayo amerudi nayo, Slaa aliondoka nayo akarudi nayo na ameondoka nayo tena na atarudi nayo tena nk nk. Tuwapo upinzani tunakaa kwa akili.
2. Kadi za mhimili namba 4 zina nguvu sawa na pasipoti na NIDA katika uhalisia wa mambo.
4. Kamati ya Maadili ya mhimili mamba 4 inaogopwa na ina nguvu kuzidi mhimili namba 2.
Msaada wako mkuu,..🤔Civil disobedience
Siku hizi huo umeshaliwa na New World Order, mambo kubarikiana tu.Labda mfumo kristu
Wale wa Mombasa na Zenji nani anawabariki?Siku hizi huo umeshaliwa na New World Order, mambo kubarikiana tu.
Msaada wapi?Msaada wako mkuu,..🤔
Eti wamepeleka UN! Ahahahahaha!!!Madai yao yanatekelezeka?
Yatatekelezwa na nani?
Yatatekelezwa lini?
Yatatekelezwa wapi? Tz hii?
Yasipotekelezwa what is the next course of action?
Maandamano yalipeleka ujumbe kwa mhimili upi wa dola?
1. Utendaji?
2. Mahakama?
3. Bunge?
4. CCM?
NB
Kwa jinsi ya mfumo tunaoishi nao, namba 4 hapo juu nayo ni mhimili kamili.
Kwanini ni mhimili kamili?
1. Wapinzani waandamizi na wafawidhi waliotokea CCM kuunda upinzani wote wameendelea ku-retain kadi zao za uanachama wa mhimili namba 4. Mrema amekufa nayo, Kabourou amekufa nayo, Ndesa amekufa nayo, Kingunge amekufa nayo, Membe amekufa nayo, Maalim amekufa nayo, Wassira aliondoka nayo amerudi nayo, Lowassa aliondoka nayo amerudi nayo, Mgana Msindai aliondoka nayo amerudi nayo, Slaa aliondoka nayo akarudi nayo na ameondoka nayo tena na atarudi nayo tena nk nk. Tuwapo upinzani tunakaa kwa akili.
2. Kadi za mhimili namba 4 zina nguvu sawa na pasipoti na NIDA katika uhalisia wa mambo.
4. Kamati ya Maadili ya mhimili mamba 4 inaogopwa na ina nguvu kuzidi mhimili namba 2.
Ukipuuzwa kesho yake unamfuata aliye kupuuza mawe. akikushinda unaenda kujipanga safari nyingine unarudi na panga, yaani huo ugomvi aushi mpaka mmoja asarende mwenyewe.Hivi ukiandamana halafu ukapuuzwa unachukua hatua gani nyingine?
Je, maandamano ya madhara gani kwa walengwa.?
Nielimisheni wakuu.