CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Na nyongeza yenu RC ndie Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, ambapo RPC ni mjumbe tu ! Boss nani hapo ??????
Asante ndugu ila ni REGIONAL POLICE COMMANDER sio COMMISIONER
Unapo tekeleza utawala wa sheria hayo huwa hayajalishi ili mradi uko kwenye mstari !
Maandamano ya CHADEMA yalifanyika Mikoa ya kanda ya ziwa,Tabora,Kigoma n.k.Hakuna vurugu yoyote iliyotokea.Na hata Arusha kunaushahidi ya kua chanzo cha vurugu ni CCM na serikali yenyewe.Leo iwe vipi wazuiwe maandamano ya Mbeya?Hapa hakuna sababu yoyote ya msingi,nafikiri sababu kubwa ya CCM kujaribu kufanya hilo ni kwanza iko katika wakati mgumu usanii wa "KUJIVUA MAGAMBA"Haukuzaa matunda au effect waliyoitegemea kuidanganya jamii haikufanikiwa ,kwani kujivua magamba kuko midomoni mwa viongozi wa CCM na si kivitendo.Katika hali kama hii kuruhusu maandamano kabla ya kujinasua kwenye mtego wa gamba ambao walijitega wenyewe ni pigo kubwa kwa CCM,CCM wamechanganyikiwa hawana la kufanya.Pili CCM wanafanya maksudi kuzuia maandamano hayo ili zitokee vurugu na hivyo kuamisha fikra za wananchi kutoka kushindwa kujivua magamba kuzielekeza kwenye vurugu ili wapate muda wa kupumua.Kwa kufanya hivyo CCM inatupeleka pabaya.Kama kutatokea vurugu wakulaumiwa ni CCM na serikali(MAFISADI)Kuzuia maandamano sio solution bali ndio hatari zaidi.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mkuu GS Baadaye tuanzishe Thread ya Kumpongeza RPC kwa Kuvunja Maandamano ya CHADEMA unaonaje hilo?
Ww upo nyumbani kwako saa hizi unakunywa juice hapo na kufurahia na familia yako, na uhakika kama ungekuwa Mbeya ww wala usinge kwenda kwenye maandamano kama yamepigwa mafuruku, mnawatosa wenzenu wauliwe nyie mbakie kuandika tu humu JF
Hakuna haja ya kumpongeza , kwa vile anatekeleza wajibu wake wa kisheria !
Mimi naona Anastahili Pongezi Maana hili Limetokea Baada ya SISI Kutangaza Kujivua Magamba
Are you saying police wamejiandaa kuuwa watu huko Mbeya?!
Si kweli usemacho, ametekeleza wajibu wa sheria ! wala haihusiani na kujivua gamba
Hapana Mkuu Hawa Kabla ya SISI Kutangaza Kujivua Magamba walifanya Maandamano kanda ya Ziwa Kwa Kutumia Sheria Hizi hizi ( Au Nakosea)
Moja ya Mikakati ya SISI kujivua Magamba ni SISI kwa kutumia POLISI WETU kuwadhibiti kabisa hawa Jamaa ( Na Tena tuliambiwa tujiunge na Socila network kupambana nao maana Ripoti ya Consultant wetu ilidai Social Network Zooooote Zikiwamo JF, Tweeter, Facebook eti ni za CHADEMA).
Sasa TUMESHAJIVUA Magamba na Moja kati ya Mikakati ni kuwadhibiti, Ndugu yetu NYOMBI ameanza kutekeleza MIKAKATI kwa Vitendo ( Si Kama Ndugu yetu Nape yeye ni Maneno tu)
Je Hakuna Sababu ya NYOMBI kupongezwa Kweli?
Ushawishi wako unakosa mashiko, kutekeleza sheria kuna uhusiano gani na kujivua magamba ? na elewa haya ni maeneo tofauti, hali ya huko waliko fanya maandamano si sawa na ilivyo mbeya !
kwani mkifanya mkutano bila maandamano kuna ubaya gani sana sana haya mandamano mnawapa wapinzani wenu nafasi ya kuwaleza watanzania kuwa mnachochea viruguYatafanyika tu hata wakilleta za kwao,maandamano si yao ni yetu wananchi,tunataka kusema sio kusemewa,tunataka kutembea sio kuzuiwa,tunataka kushirikishana hisia za kisiasa na kuondokana na mfumo vitisho.
rpc hana mamlaka ya kutoa kibali. Na yeye haombwi kibali bali anapewa taarifa.gb wewe uko katika karne gani? Ama kweli watanzania wengine hawajijui kama wapo tanzania.
Marufuku kwa sababu zipi????. Ovyoooooooooo!Umeandika mpaka umekinzana ww mwenyewe, povu la mate mdomoni lakutoka. Kuwa mpole fuata sheria. Mmeisha ambiwa mapemaa maandamano hayo ni marufuku , sasa dola ikiwashukia msimlaumu mtu, na jamaa wana hamu kweli ya kufanya mazoezi na kupandishwa vyeo
Marufuku kwa sababu zipi????. Ovyoooooooooo!
Makamanda CDM wapo kwenye foleni Ubungo tayari kwa Mapambano Mbeya hakuna kurudi nyuma tena lazima tupambane sana.MUNGU YU UPANDE WETU.
Mungu ni wa wote, na hana upande ! ila upande wenye haki ya kulinda amani na utulivu wa nchi ndio yuko upande wao