Maandamano ya CCM Moshi Mjini

Maandamano ya CCM Moshi Mjini

Kwa akili aliyonayo devis mosha ninakuwa na shaka na kabila lake...anaweza kuwa mnyasa Huyu....MKATENI

uuuwiii! jamani mtadhania mnaishi nchi jirani! hamieni huko basi.ukabila, ukabila,ukabila. wakati sisi tunasema elimu,elimu,elimu.
 
Huyu jamaa anataka kuiharibu aman ya moshi kwanini wananchi wa huko msimchape huyo pungungu!
 
Wanaenda kwa mkuu wa mkoa au wanaenda kwa kdada mwenzao wa Ugambani..?
Rekebisha tafadhari kauli uako isomeke kuwa wanaenda kwa kada mwenzao.
 
Nilishangaa sana CCM walipompitisha huyo muhuni wa Kinondoni kuja kugombea ubunge wa Moshi mjini. Hivi CCM kweli walikosa mtu mwingine wa maana wa kugombea?
 
Wanaenda kwa mkuu wa mkoa au wanaenda kwa kdada mwenzao wa Ugambani..?
Rekebisha tafadhari kauli uako isomeke kuwa wanaenda kwa kada mwenzao.

na huyo mkuu wa mkoa kawatimua amesema hataki kuwaona hapo nje ya ofisi yake Mosha ameondoka kwa aibu.
 
Nataka kuwauliza polisi ivi si mulikataa maandamano? vip huko moshi imekuwaje mnawaacha cck waandamane pia nadhani mmeonesha wazi kuwa ninyi ni jeshi la ccm na siyo jeshi la polisi
 
Kwa sasa watu wanaiona CCM ni chama cha wahuni na watu wasiokuwa na Adabu kwa sababu ya aina ya watu kama Nape, Davis Mosha, Lusinde, Ridhwan nao kupewa nafasi ya kugombea ubunge.
Ile taswira ya wazee na wakina mama ya kuipenda CCM imeanza kupotea kabisa.
 
Namkumbuka enzi zile akichoma mishikaki pale mlandizi kwenye baa moja .
 
Nilitegemea watu kama Aggrei Marealle, Boisafi ndio labda CCM wangehakikisha ndio wanagombea hapo Moshi mjini ili kupambana na CHADEMA.
Kwa ajabu kabisa nikashangaa muhuni wa bar, muuza unga, mjanja mjanja wa Dar, checkbob, dalali wa kinondoni ndio anagombea Moshi mjini kwa tiketi ya CCM?
 
Nilitegemea watu kama Aggrei Marealle, Boisafi ndio labda CCM wangehakikisha ndio wanagombea hapo Moshi mjini ili kupambana na CHADEMA.
Kwa ajabu kabisa nikashangaa muhuni wa bar, muuza unga, mjanja mjanja wa Dar, checkbob, dalali wa kinondoni ndio anagombea Moshi mjini kwa tiketi ya CCM?

tumeshamnyoosha huyu Mosha muuza unga,
kesho anarudi dar kwa ajili ya maandalizi ya kupiga kura kinondoni huku moshi hajajiandikisha.
 
Leo CCM ndio wanalia kuonewa JK si alisema atadili na yeyote kwa nguvu hizo hivi kwa vile wamejipanga?Maigizo mengine hayana kichwa wala maana..Ancheza na Ndesa?Ndesamburo hachezewi, akiamua kaamua hata mtoto mdogo ataimba ndesa.
 
Kitu nilichokigundua watu wengi wa humu ndani wanatokea amma wa asili ya Arusha na KLM/Moshi
Kwamba mikoa mingine hawajaenda shule? Na kama wameenda shule wao wanapatikana mitandao ipi?
 
Kwamba mikoa mingine hawajaenda shule? Na kama wameenda shule wao wanapatikana mitandao ipi?
Kanywe mbege na kisusio akili zikurudie.Kwenda shule na kutumia JF kuna mahusiano gani???
 
Back
Top Bottom