Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
....si sisisi
That is from your own stupid point of view.You missed my point
....si sisisi
Nilitegemea watu kama Aggrei Marealle, Boisafi ndio labda CCM wangehakikisha ndio wanagombea hapo Moshi mjini ili kupambana na CHADEMA.
Kwa ajabu kabisa nikashangaa muhuni wa bar, muuza unga, mjanja mjanja wa Dar, checkbob, dalali wa kinondoni ndio anagombea Moshi mjini kwa tiketi ya CCM?
Duh! Nikustahi tu...Kanywe mbege na kisusio akili zikurudie.Kwenda shule na kutumia JF kuna mahusiano gani???
Bila shaka hukumsikia mkurugenzi wa jF alipohojiwa na kusema Ccm wame invest sana kweny habari. Akasema mwanzni UKAWA wlaikuwa mbele sana hapa JF lakini sas Ccm wanaongoza.
Kwa hiyo kufutwa kwa threads za ukawa ni kuifaya ccm ionekane inaongoza kwa kuwa imetumia fedha nyingi kwenye vyombo vya habari.
Na kwa mantki hii, ninaona JF inakwenda kufa baada ya uchaguzi kwa sababu ya udhalilishaji ambao JF imeamua kuwafanyia wanaopingana na ccm.
Lakini haya yote si Ccm yetu asilia ni hii ccm ya kisasa. Inaua kila kiltu.
Hata hivyo tunakwenda kushndwa uchaguzi. Mimi ni Ccm na hili nimeliona kwamba tunazidi kuudhi wapiga kura kila siku, na kwamba hatuna uwzo wa kushinda uchaguzi huu. Hivyo tutakaa kando tujipange upya. Lakini hata wale wanaotufuata matakwa yetu, kama hapa JF, wasanii na vyombo vingine kama Star TV, wajiandae kukaa pembeni pamoja na sisi wakijipanga upya kwa sababu wamebeba nuksi zetu na tunawakokota kwenda tusikokujua.
Hawasalii salama hawa. Wala usiwe na hofu.
Ww umekunywa viroba, ww mwenyewe unamwita mjanja, ss shida iko wapi?
Tunajua Tunachokitaka, Miaka Hiyo Ya Nyuma VYAMA Vikubwa Vyote Kila Kimoja Kulikuwa Kivyake!! Kwanza Mnapambana Wapinzani Wenyewe Kwa Wenyewe, Zen Na CHAMA Tawala!! So Vurugu Tupu!! 2015 Viko Pamoja Twaimba Wimbo Tu Mabadiliko, Uzuri Na CCM Wamejiunga Ktk. Mabadiliko!!
Ww umekunywa viroba, ww mwenyewe unamwita mjanja, ss shida iko wapi?
Bila shaka hukumsikia mkurugenzi wa jF alipohojiwa na kusema Ccm wame invest sana kweny habari. Akasema mwanzni UKAWA wlaikuwa mbele sana hapa JF lakini sas Ccm wanaongoza.
Kwa hiyo kufutwa kwa threads za ukawa ni kuifaya ccm ionekane inaongoza kwa kuwa imetumia fedha nyingi kwenye vyombo vya habari.
Na kwa mantki hii, ninaona JF inakwenda kufa baada ya uchaguzi kwa sababu ya udhalilishaji ambao JF imeamua kuwafanyia wanaopingana na ccm.
Lakini haya yote si Ccm yetu asilia ni hii ccm ya kisasa. Inaua kila kiltu.
Hata hivyo tunakwenda kushndwa uchaguzi. Mimi ni Ccm na hili nimeliona kwamba tunazidi kuudhi wapiga kura kila siku, na kwamba hatuna uwzo wa kushinda uchaguzi huu. Hivyo tutakaa kando tujipange upya. Lakini hata wale wanaotufuata matakwa yetu, kama hapa JF, wasanii na vyombo vingine kama Star TV, wajiandae kukaa pembeni pamoja na sisi wakijipanga upya kwa sababu wamebeba nuksi zetu na tunawakokota kwenda tusikokujua.
Hawasalii salama hawa. Wala usiwe na hofu.
Kitu nilichokigundua watu wengi wa humu ndani wanatokea amma wa asili ya Arusha na KLM/Moshi
Mosha atosha mwa moshi mjini ntampa kura