David Elia
Senior Member
- Sep 7, 2011
- 101
- 25
Kwa kweli bora nilipigie sanamu la round about ya kwenda DSM kuliko kumpigia devis Mosha
Ni aibu sana pale unapomuona mgombe ubunge kwa ticket ya ccm akiamua kuanzisha machafuko yasiokuwa na tija...baada ya kugundua atashindwa vibaya kwenye uchaguzi wa jumapili...... Mimi namjua sana huyu kijana hat a utajiri wake ni wa mashaka sana....hii ni jamii ya kina riz1 kikwete.....wanamoshi MSIMPE KURA DEVIS MOSHA aka YAHYA
mbaya zaidi baada ya maandamano kufika kwa mkuu wa mkoa, amewafukuza amesema hataki kuona mtu hapo nje ya ofisi yake, hasa ukizingatia ni juzi tu mkuu huyu wa mkoa ametangaza kuwa hali ya moshi ni tulivu sana.
Ni kweli kabisa Daudi. namfahamu jamaa moja ameachana kabisa na hizo pesa zake kwasababu ya vurugu za Davis. Alikuwa ni mpambe wake kweli na alivuta za kutosha. Ameona anaingiza chuki kwa washikaji zake wa kitaa wakati uchaguzi mwisho tarehe 25. baada ya hapo utakaa vipi mtaani na washikaji umeshawavuruga? Amechomoatangu mabaunsa wa Mosha waanze kupiga watu hovyo wale waliokua wanapokea pesa zake hawataki hizo pesa, wanasema pesa zake sio tamu tena.
Kama kawaida yenu wachaga kukumbatia ukabilaKwa akili aliyonayo devis mosha ninakuwa na shaka na kabila lake...anaweza kuwa mnyasa Huyu....MKATENI
Kitu nilichokigundua watu wengi wa humu ndani wanatokea amma wa asili ya Arusha na KLM/Moshi
Michagga mingi humu JF!
Michagga mingi humu JF
Huu mwaka wafuasi wa upinzani nawapongeza kwa utulivu & uvumilivu wao. Endeleeni hivyo, tuwaaibishe magamba.
Mmefika huku ndugu?