kura zao zitatosha kumuweka wa kabila lao ikulluhaaa wameenea chi nzima hasa miji mikubwa na midogo...
Fanya uchunguzi kama utakosa duka la mangi
kura zao zitatosha kumuweka wa kabila lao ikulluhaaa wameenea chi nzima hasa miji mikubwa na midogo...
Fanya uchunguzi kama utakosa duka la mangi
Kusanya evidence zithibitishe ni sahihi na kweli peleka kwa wakubwa wa mkoa.HATUTAKI MACHAFUKO...TUNATAKA AMANI NA UTULIVU.kama wakubwa hawatafanyia kazi ikifika mambo ya ICC itasaidia.
Wafuasi wa Chadema wameionya polisi na mkuu wa mkoa wasipochukua hatua madhubuti ili kuzuia vurugu hizo watajibu mapigo haraka iwezekanavyo, na kuwa wakijibu mapigo Moshi hakutakalika tena.
/QUOTE]
Natumai hamtaingia kwenye mtego huu ili muwe sababu ya ukosefu wa amani. Moshi inatakiwa ibaki kama ilivyokuwa na Mzee Ndesa.
Moshi watakula hela za Mosha ila mwisho hashindi
Sijui nani aliyemdanganya huyu Yahaya kugombea ubunge Moshi Mjini?
Nafikiri Mungu alimpiga UPOFU katika kufikia uamuzi huo!
Juzi kiboriloni kashusha bendera za chadema tena mbele ya polisi