STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Tupo hapa kikatiti ndo maandamano yanaanzia kumsindikiza Mgombea mteule wa ccm Sioyi Sumary Kuchukua fomu kwa mkurugenzi usa river..updates
Hizi ni mbwembwe tu hakuna kiongozi wa CCM atakaye sindikizwa na wananchi bila rushwa.... Mwambieni tunamsubiri kwenye mdahalo ajiandae asipokuja imekula kwake......
Peoples power