Peeeeoples kutokana na Uvccm mkoa wa Dsm kupanga kufanya maandamano tar 5 ijumaa
Bavicha mkoa wa Dsm tumeadhimia kufanya maandamano siku ya tareh 4 alhamic
Maandamano yetu yataanzia viwanja vya biafra na kuishia ofisi za Tume ya uchaguzi
Lengo ni kwenda ofisi za Nec kuwashinikiza watuambie nilini zoez la uandikishaji wa wapiga kura litaanza
Pili kuhamasisha vijana wajiandae na zoez la uandikishaji litakapo tangazwa
Upatapo ujumbe huu mtarifa na mwenzio
By k
HILDA NEWTON
KATIBU WA BAVICHA
MKOA WA TEMEKE