Maandamano ya BAVICHA DSM 04/02/2015

Maandamano ya BAVICHA DSM 04/02/2015

Good timing.
Kama cdm upinzani hawataruhusiwa alhamis,vivyo hivyo na maccm
thubutu, ccm ni chama twawala, ndo chenye hao polis, kwa hiyo wao mwendo ni mbele kwa mbele hawahusiki na hizo amri kamwe.
 
pia wasisahau maji, maana polis ccm watarusha yale mabomu yao.
Polisi kwa sasa walishaelezwa bayana kuwa hakuna haja ya mabomu tena ni kuwatwanga risasi za modo ili wahuni wapungue mabomu ya machozi hayasaidii sana kilichomkuta kambaya kinaweza kuwakuta wao pia.
 
Ndio maana mnapigwa virungu maana hamjui hata mnachokitaka. Hamjipangi mnakurupuka tu. Eti kwa vile UVCCM wanataka kufanya maandamano basi nanyi mnakurupuka kutangaza maandamano yasiyo na hata maandalizi.
 
Taarifa za kiitelijensia za polisi zinaonesha bado kuna tishio LA ugaidi kwa hiyo hakutakuwa maandamano

Taarifa za kiintelijensia zinaonesha kuwa kuna watu watauawa na vitu vyenye ncha kali hivyo maandamano hayatakuwepo!
 
thubutu, ccm ni chama twawala, ndo chenye hao polis, kwa hiyo wao mwendo ni mbele kwa mbele hawahusiki na hizo amri kamwe.
Acha kupotosha watu wewe polisi inalinda watu wote ndiyo maana hata mzee slaa alipodundwa kule kigoma walimuokoa wao bila polisi tungekuwa tumemsahau.
 
kwani binduki zao zimepatikana mpaka waruhusu.
 
Hivi yericko ni kijana au mzee nakumbuka wewe na ben saanane mlinyimwa nafasi bavicha kutokana na umri wenu kuvuka umri wa ujana nashangaa unakaa unajiita bavicha jiunge tu na baraza la wazee.

Mimi nikijana bwana usinitose mama
 
Hivi yericko ni kijana au mzee nakumbuka wewe na ben saanane mlinyimwa nafasi bavicha kutokana na umri wenu kuvuka umri wa ujana nashangaa unakaa unajiita bavicha jiunge tu na baraza la wazee.
unachangia topic gani wewe mbuzi
 
Mimi nikijana bwana usinitose mama


Duuuuuuh...kumbe mjepo ni maaaamaa...ahaaaaaaa, leo nimepata jambo jipya...
Ahsante kunijuza...sasa nitakuwa nasoma threads au michango ya mjepo kwa namna tofauti na hapo mwanzo...
 
Mh!
Kwa hiyo mnaandamana kwa vile UVCCM wanaandamana?!!!
It doesn't make sense
 
Back
Top Bottom