WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,921
- 1,233
Hiyo nakala mkuu ungetuwekea hapa jamvini kwa kumbu kumbu zetu na za watoto wetu!! Kila la kheri wakuu, nchi hii bila maandamano viongozi hawajui kutekeleza wajibu wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
gamba la mamba au la samaki?Umeanza ule ugonjwa wako siyo! Hebu peleka matisho yako ya kibachela huko ulipo! Ngamba wee!!
Jamiiforums inapatikana popote...tatizo hiyo habari haituhusu, hebu niambie ukishafamu chochote kuhusu hiyo habari, itakuwa na effect yoyote kwenye utendaji wako wa kila siku?Eehe, kumbe kuna eneo maalum ambalo kuna JF!!! Mbona jana nilikuwa Kogaja nilikuwa napata taarifa kutoka JF, leo niko Utegi bado niko online na JF. Sasa mahali pake rasmi ni wapi?
Watu wengine bwana mkiambiwa hamna akili mnadai tuache matusi, hivi hapa JF ni wapi?, mbona mimi nipo huku kikazi JF inapatikana? Au umekelemishwa kwamba JF nayo ni ya Moshi, Arusha na kanisani
Hebu toa upupu wako hapa.Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
Nina wasiwasi kama wanachi wa Rorya wanaelewa kuhusu mchakato wa katiba!
Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
Rejao kuna cheque yako ya Pound laki moja toka kwa David Cameroon imeokotwa pale Tandale uwanja wa fisi, watakupataje uchukue malipo yako?
nimekaa kwenye bonet...full kumblok dereva! duh! na wasi wasi na IQ yako mkuu!
Sifa za kijinga.
Hapo tu kidogo umepotoka yaani hapo nilipo pa-high light.