Maandamano nchi nzima, yanaweza kutatua kero zetu?

Kwa yeyote mwenye mapenzi mema na nchi hii kuhusu maandamano ya kuung'oa utawala huu wa kifisadi hawezi kuhoji kitu chochote.sukari kg 50 leo nimenunua 100000 hapa dar .tunakwenda wapi tena inabidi tuandamane mapema iwezekanavyo.naunga mkono .100
 
Nipo tayari kuunga mkono ila nifahamishe baada ya hayo maandamano tunategemea ku achieve nini? Hayo matatizo yataondokaje kwa maandamano? Naomba uhusiano wa hayo matatizo na kuto kuandamana ili nikuunge mkono.
<br />
<br />

Kojoa ulale mtoto wa mama, tuwache tunaopata adha yakulipa pango na mfumuko wa bei kula uchwao...
 
Sijaona uhusiano wa moja kwa moja kati ya maandamano unayotaka kuanzisha na matatizo uliyoyaorodhesha hapo chini. Je baada ya kuandamana hayo matatizo yatakuwa yamejitatua?
<br />
<br />
Wewe dogo mi sikufichi ungekuwa karibu yangu,ningekukata mbata mpaka ungejuta kuzaliwa, huna uchungu na nchi hii kwa sababu we ni kula kulala tena mnyonyaji mkubwa usiyejua hata bei ya kiberiti,JITEGEMEE NDIO UTAJUA MAISHA NI NINI tena usiludie tena kupost ujinga kama huo.
 
STRATEGY:


4. Kutengeneza bajeti na kufanya fund raising kwa ajili ya maandalizi ya hayo maandamano

Bajeti ya nini tena? au ndio posho za waandamanaji? Kama maandamano hamasisheni watu waje barabarani hakuna cha bajeti wala nini, kwani huyo mtoa huduma yeye sio mtanzania?
 
Humu JF kuna wana intelegensia waliojipandikiza ambao wanakula bata,(Kila wanachokitaka wanapewa kwa kodi za Mdanganyika) wangependa kwa kila hali kupotosha na kupinga wazo na mada nzuri iliyoko hapo juu. Najiuliza je hakuna namna ya kutengeneza mtandao au private rooms ambapo walio na nia ya kweli ya mapinduzi wakajadiliana na kupanga mikakati? I am ready to sacrife my life for my sons.
 
<font size="3">Sisi wa-Tanzania ni waoga kama mbweha.<br />
Tukitishwa kidogo tuu kila mtu anakimbilia uvunguni mwa kitanda.<br />
Nani anaweza kusimama kuandaa maandamano hapa?au tutaishia kulalamika tuu siku zinaenda.</font>
<br />
<br />

I HATE YOU!
 
Salaam ndugu wana JF:

Nimejaribu kupitia thread kwa haraka kidogo nami nimeona nitoe yangu niliyoyatafakari kulingana ninyi mnavyowaza:

1) kwanza kabisa inaonekana kabisa wadau wengi sana wanatoa maoni kwa mtazamo wa hasira na chuki juu ya kiongozi(Rais aliyeko madarakani)
2) kwa mtazamo huu wa hasira na chuki points nyingi zinazotolewa are not critical toward the decision to be taken na hii inatokana kuwa watu wengi wanatazama matatizo kwa mtaji wa kisiasa(hii ni hatari sana)

Ni ushauri wangu kwenu ninyi wadau kwamba yawezekana kabisa tusitumie maandamano kumtoa aliyepo madarakani rather tukatumia hili jamvi kutengeneza mkakati wa AMANI kabisa wa miaka 4 ijayo kuelekea uchaguzi mkuu namna ambavyo tunaweza kumpata mtu ambaye tunamwona ni strong then potential akatushikia hii nchi.

Binafsi naona kabisa lets find a source of the problems, hence solutions na siyo nani kashikilia nyadhifa fulani ili tumtoe. Tunaweza tukatumia nguvu nyingi sana ktk kufanikisha hili jambo na tusipate kile tunachokitaka. Please TANZANIAN lets use our MIND of peace.

"HUU NI MTAZAMO TU"

Hii ni hatari,kweli kuna watanzania hawajui source ya matatizo ya nchi hii inachekesha.....tuache ujinga,maandamano ya kumng'oa JK ndio suluhisho.....mimi nita-finance...maji ya kunywa...
 
mimi siandamani naogopa kuvunjwa kiuno au mguu! nani? atakaekuja kunilipia matibabu na chakula?
<br />
<br />
huyo anae taka maandamano ametumwa aje kutuchochea...hivi maandamano anayasikia au analeta upupu humu jamvini au amechoka kuishi, nampa ushauri akajinyonge au akaombewe au swaumu kali...hebu tuache na TZ yetu sie, kama ni maandamano tushafanya sana tukaambulia patupu, let we find da altenative way f solvng dos problm...nawasilisha kiivo...
 
Kwa nini jamani tusiandamane siku ya uhuru kwa kigezo chakupinga madhimisho ya miaka 50 ya uhuru tufanya makusudi tunaomba kibali cha polis wa kikataa ndo po kuanzia wakuu tunalasimisha nawasilisha amka mtanzania
Natamani maandamano yawe hata leo; ila nakubaliano nawe siku ya uhuru ni perfect kwani tutakuwa tunautafuta uhuru wa kweli! Mwageni stratergies ili kila mtu aplay part yake!

Tukiamua, hakuna kikwazo whatsoever! Na napenda kuwapinga watu walio too negative; kuwa WaTZ sio Waoga kivile
 
Hii ni hatari,kweli kuna watanzania hawajui source ya matatizo ya nchi hii inachekesha.....tuache ujinga,maandamano ya kumng'oa JK ndio suluhisho.....mimi nita-finance...maji ya kunywa...
upupu upupu upupu...ww c ulimpigia slaa kura utakoma na hayo matatizo...cc hatutaki maandamano,,, nchi ye2 ya amani na upendo...hebu semeni maandamano mnaanzia wapi tupeleke polisi we2 wakawavunje miguu, alafu mfanyiwe nanilihii....teh teh teh
 
huyo anae taka maandamano ametumwa aje kutuchochea...hivi maandamano anayasikia au analeta upupu humu jamvini au amechoka kuishi, nampa ushauri akajinyonge au akaombewe au swaumu kali...hebu tuache na TZ yetu sie, kama ni maandamano tushafanya sana tukaambulia patupu, let we find da altenative way f solvng dos problm...nawasilisha kiivo...
maandamano yamemtoa mubarak udiktetani..hivi unaishi dunia gani..hata huwaeshimu waliokufa arusha na kwingine?
 
Samahani kidogo mkuu tumia fact hili twende sawa usiogope tupo pamoja mkuu na huo mda wa mpito unaosema tunisia libya misiri awaku na uo muda/kipindi cha mpito sawa mkuu
facts zimetuzunguka ndugu. au unataka facts toka Pluto?
 
humu jf kuna wana intelegensia waliojipandikiza ambao wanakula bata,(kila wanachokitaka wanapewa kwa kodi za mdanganyika) wangependa kwa kila hali kupotosha na kupinga wazo na mada nzuri iliyoko hapo juu. Najiuliza je hakuna namna ya kutengeneza mtandao au private rooms ambapo walio na nia ya kweli ya mapinduzi wakajadiliana na kupanga mikakati? I am ready to sacrife my life for my sons.
pm me when u get time
 
Hamna wabunge? Hamna viongozi? Matatizo hutatuliwa na maandamano? Unanchekesha!

wewe unaishi kenya au tz? na kama ni tz hayo matatizo huyaoni? na kama unayaona umeshamwambia mmbunge wako na akayatatua? kwani bosi wako magogoni anajuai shida za wa tz na yeye ndio top? si ndio yuko juu ya sheria mpaka kauza mahakama au huko ndio kutatua matatizo ya watz? au wife kamwambia matatizo ya watz ni kuwa na mahakama? kama aliweza kukana in public Washington dc kuwa hajui shida za watz hata ukimwambia ataelewa? wacha porojo za kisiasa hili ni janga la taifa pamoja nawewe na watoto wako na ukoo wako kule lushoto wanaoshindia mlo mmoja wa mihogo
 
Tangazo: Maandamano ya amani ya nchi nzima ya kupinga hali mbaya ya maisha iliyopo yatafanyika tarehe 12/12/2011. Kila mwenye fikra alete hapa.
Tunamchagua mzee wa kijiji awe mratibu wa mpango huu ikiwemo kuchagua jopo la kuandika strategy, kuomba kibali mapema, funding n.k
Yote yaendeshwe kwa njia ya social media ikiwemo kufungua twitter account malum na site yenye 'donate'.
NB: Maandamano ya amani ni haki ya kidemokrasia ya kila mtu.

Huu woga wenu ndio uliotufikisha hapa. Kuna mmoja anauliza, nani atanipatia chakula! Kha, kwani hivi sasa unakula wewe, au hujui maana ya kula?
 
Naunga hoja mkono na waoga wote watafute pa kwenda siku zinahesabika visingizio vyote havina nafasi tena katika hali ngumu kama hii
 
Back
Top Bottom