Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Kuna kila dalili ya kutokea maandamano makubwa na vurugu za kutosha kama kesho mswada utapelekwa bungeni na kusomwa kwa mara ya pili na hatimaye kupitishwa kwa unafiki na wabunge [ccm]. KAMA SERIKALI YA CCM KM INA MASIKIO ISIKILIZE MATAKWA YA WANANCHI.