Maandamano makubwa

Kwa nini hasa hii serikali inataka kufanya kiini macho kwenye suala la katiba jamani. Katiba ya nchi haihitaji ushabiki wa kisiasa maana kila chama kina katina yake ambayo kikipenda kuichezea kinavyotaka inawezekana. Lakini katiba ya nchi iachwe iwe ya wananchi wote

Tatizo ni kwamba ccm na serikali yake are living in total denial.Watapeleka huu muswada bungeni, wale wabunge waoga wataanza kuusifia na wengine wataanza kuwatakukana wanaoukataa kwa kusema 'wametumwa' na mwishoni watesema ndiyo. Lakini wakae wakijua huu muswada is make it or break it kwa watanzania.

Jambo jingeni ambalo sijaelewa kabisa na serikali hainekana kufanya la maana ni kuhusu Zanzibar na hatima ya muungano. Wanzizabari wengi wanauona huu muswada kama wa Tanganyika, sina hakika kama Celina Kombani anajuwa siasa za Zanzibar kwa kipindi hiki? Shein hawezi kabisa kutuliza hasira za wananchi hasa baada ya kuapa kuwa mjumbe katika baraza la mawaziri Ikulu ya magogoni. Tusibiri kwanza kesho ndio tuone nidhamu ya woga inatupeleka wapi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Acha ushamba what is chadema? Sisi tutaandamana kama wenyenchi na si vinginevyo........!
sawa mkuu! me mshamba bana....lakini tutakutana kwenye maandamano wote washamba na wew wa mjini kaka!
 
Hata kama watafanya mbinu zote za kifisadi na ki CCM watapatikana tu kesho maanake sikio la kufa halisikii dawa. Pamoja na Kutumia wale makada wa CCM wanaojiita Maprofesa wa sheria toka vyuo kama University of Dar .Ili kuwapoza wabunge masilahi (CCM) kuweza kupitisha muswada wa huo wa kuundwa kwa katiba, ni kwamba safari hii watapatikana tu.. Katiba itakayoundwa ni Mali ya wananchi na siyo mali ya rais ( Kikwete)na ( Chein) kama vifungu vilivyo kwenye muswada vinavyompa madaraka makubwa katika mchakato mzima. Kwa mtizamo mpana kama mambo yataachwa yaende hivyo basi ni kwamba tutapata katiba mbovu hata zaidi ya hii tuliyo nayo. Hii itakuwa ni katiba ya CCM kwa mawazo yangu kwani nguvu zote anazo rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM hivyo kwa wateule wote atakaowateua ni wazi mambo yatakuwa kama zile tume za uchaguzi wenyekiti wake...ni wanaCCM na hivyo ndoto za mageuzi ya kweli zitakuwa zimepotea kabisa .NAunga mkono maandamano na safari hii tuandane kuanzia Mara...tupite Mwanza na Dar itakuwa ni Tripoli na mwisho wa mchezo na udhalimu wa CCM utakuwa umefika mwisho...Mungu yupo pamoja nasi safari hii tutaikomboa nchi....
 
Hata kama watafanya mbinu zote za kifisadi na ki CCM watapatikana tu kesho maanake sikio la kufa halisikii dawa. Pamoja na Kutumia wale makada wa CCM wanaojiita Maprofesa wa sheria toka vyuo kama University of Dar .Ili kuwapoza wabunge masilahi (CCM) kuweza kupitisha muswada wa huo wa kuundwa kwa katiba, ni kwamba safari hii watapatikana tu.. Katiba itakayoundwa ni Mali ya wananchi na siyo mali ya rais ( Kikwete)na ( Chein) kama vifungu vilivyo kwenye muswada vinavyompa madaraka makubwa katika mchakato mzima. Kwa mtizamo mpana kama mambo yataachwa yaende hivyo basi ni kwamba tutapata katiba mbovu hata zaidi ya hii tuliyo nayo. Hii itakuwa ni katiba ya CCM kwa mawazo yangu kwani nguvu zote anazo rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM hivyo kwa wateule wote atakaowateua ni wazi mambo yatakuwa kama zile tume za uchaguzi wenyekiti wake...ni wanaCCM na hivyo ndoto za mageuzi ya kweli zitakuwa zimepotea kabisa .NAunga mkono maandamano na safari hii tuandane kuanzia Mara...tupite Mwanza na Dar itakuwa ni Tripoli na mwisho wa mchezo na udhalimu wa CCM utakuwa umefika mwisho...Mungu yupo pamoja nasi safari hii tutaikomboa nchi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom