kuna mpango wa kuanzisha maandamano makubwa kwa vijana wasomi wasio na ajira.wewe hili unalionaje?
mama lwakatale anajiri ila unakuwa unasafiri kwenda ulaya kuleta mzigo tumboni mwako,kwa wanoweza mtafuteni,.ndiyo maana kunawaziri flani alionesha utofauti wa vujana wa kutanzani wakitaka kusafiri ni mwendo wa kukwea pipa ulaya ,amerika etc.mie naona ni ujinga mkubwa...kwa nini msianzishe mchakato wa kutafuta njia za kujiajiri?je mkishafanya hayo maandamano ajira zitapatikana???
Mie naona ni ujinga mkubwa...kwa nini msianzishe mchakato wa kutafuta njia za kujiajiri?Je mkishafanya hayo maandamano ajira zitapatikana???
kwani hao wanauza nyanya wanafanyaje?au unaona noma?......kweli nakwambia....wazo la maandamano litakuongezea frastrurations...labda kama ulikuwa unatutania......kwa kuanzia anza kufanya research kwa wafanyabiashara kama watano wa biashara unazipenda...then in the process utapata ideas nzuri na pia ugumu.jishughulishe..sema ww watu wajiajiri kiaje.ucwe km wale tunaowaongelea kila cku wanaoongea tu bila kuonesha solution za kufanya hvyo.
wanaharaki naomba mlishughulikie ilo swala as soon as posible vijana wapo wengi sana hata ukisema uanzishe jeshi la jobless linaweza kuzidi JW.
kwani hao wanauza nyanya wanafanyaje?au unaona noma?......kweli nakwambia....wazo la maandamano litakuongezea frastrurations...labda kama ulikuwa unatutania......kwa kuanzia anza kufanya research kwa wafanyabiashara kama watano wa biashara unazipenda...then in the process utapata ideas nzuri na pia ugumu.jishughulishe..
Mie naona ni ujinga mkubwa...kwa nini msianzishe mchakato wa kutafuta njia za kujiajiri?Je mkishafanya hayo maandamano ajira zitapatikana???
dada hayo matusi ila kumbuka unandugu kwahiyo we ukiwa na kazu kumbuka kunawatoto zako wanakuja hawana ajira
kumbuka anayeuza nyanya ana mtaji.
dada hayo matusi ila kumbuka unandugu kwahiyo we ukiwa na kazu kumbuka kunawatoto zako wanakuja hawana ajira
Tatizo la watanzania wanapenda kudanganywa na wakiambiwa ukweli wanaona wametukanwa...Ngoja nikae kimya niokoe muda wangu maana muda ni mali nao.Andamana salama uone kama itakutoa kimaisha.tena naruhusu hata mpewe askari wawasindikize na wasiwazuie....