Wakuu jioni ya leo wale wote wanaopinga sera za uingereza za kushinikiza Tamaduni za kishetani kama vile upewaji wa misaada kwa ushoga basi naomba mshiriki maandamano makubwa ya kupinga ujio wa prince charles katika nchi yetu ili tuonyesha hatutaki mashinikizo yao na tupo tayari kwa kujitoa jumuia ya madola.
kwa kila unachoweza ata ikiwa kuziba njia kuzomea au kwa kila ishara basi fika uwanja wa ndege leo kushiriki maandamano haya
kwa kila unachoweza ata ikiwa kuziba njia kuzomea au kwa kila ishara basi fika uwanja wa ndege leo kushiriki maandamano haya