matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Ili suala la posho linashangaza sana,kuna watu wanalidandia kiushabiki tu...ningeunga mkono kama yangeitishwa maandamano ya kuongezwa maslahi kwa tasnia zingine kama mishahara ya walimu,polisi,manesi nk sio wengine wasiongezewe,maisha yamepanda sana kiukweri kwa mbunge anaetegemea kipato cha ubunge wake pekee,iyo elfu 70 apange hoteli,ale chakula,aweke mafuta gari,dereva wake nae anamuangalia..tuandamane posho ziongezwe kwa wote ndio suluisho.