makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
MAANDAMANO NDIYO DAWA YA KUPINGA ONGEZEKO LA POSHO ZAWABUNGE
Inasikitisha na ni huzuni kubwa kwa jamii ya Watanzaniakusikia kwamba Rais Jakaya Kiwete amebariki na kuridhia ongezeko la Posho kwaWabunge kutoka Tshs .70,000/= mpaka Tshs.200,000/=. Kwa ongezeko hili kilaMbunge sasa ataondoka na kitita cha jumla ya Tshs.330,000/= kwa kila sikuanayokuwepo Bungeni. Hii ni pamoja na kujumlisha Tshs.80,000/=kama posho yakujikimu(perdiem)na Tshs.50,000/= pesa ya mafuta(fuel allowance)inayolipwa kilasiku kwa kila Mbunge aliyeko Bungeni.
Kitendo hiki cha Rais kinaonyesha jinsi Rais Kiweteasivyokuwa na upeo wa kuongoza. Lakini pia kinaonyesha udhaifu wa Serikali yaCCM ambavyo imeshindwa kuongoza nchi hii. Rais Kiwete na Serikali yakewameonyesha DHARAU kubwa sana kwa Watanzania. Kwamba pamoja na malalamiko nakelele za Wananchi na Wanaharakati mbalimbali kupinga posho hizi Kiwete na Serikaliyake wameamua kuridhia ongezeko hilo!
Sasa basi Watanzaniatufanye nini kutokana na kitendo hiki cha dharau, kihuni,kidikteta nakinyonyaji kilichoridhiwa na Rais Kiwete? Jibu nimoja tu: MAANDAMANO.
Haiwezekani kwa namna yoyote ile kudharau na kupuuza maoniya Watanzania ambao ndio wameiweka hii serikali madarakani kwa matumaini kwambaingelikuwa sikivu na kuweza kuwaletea maendeleo Watanzania.
Kuna matukio mengi sana ya kuonyesha kuwa vipato vyaWatanzania walio wengi ni vidogo sana kuanzia Wakulima mpaka Wafanyakazi wataasisi na idara mbalimbali. TUCTA walishaiomba serikali kuongeza Mshahara waKCC (Kima Cha Chini) toka Tshs. 135,000/= mpaka 315,000/kwa mwezi . Badoserikali hii imekataa katakata kwa madai kuwa mshahara huo ni mkubwa sana nahauwezi kulipwa!
Let's use our common sense. Kama kuna mtu anaweza kulipwaTshs. 330,000/= kwa siku kwa maana ya Mbunge,vipi kwa Mfanyakazi anayedaiTshs.315,000/=kwa mwezi siyo kwa siku ishindikane?Kulipa Tshs.330,000/=kwa sikuPESA IPO. Lakini kulipa Tshs.315,000/= kwa mwezi PESA HAIPO!!!!!
Kwa sasa kuna MGOMOWA MADAKTARI nchi nzima wakidai kuboreshewa maslahi yao serikali imekataa kwamaneno kwamba madai yao ni makubwa mno kiasi kwamba seriakli haiwezi kuyamudu. Madaktari bila shaka wamesikia kuwa Rais Kiwete amekubaliWabunge walipwe Tshs 330,000/=kwa siku ilhali madai yao(Madaktari) wanaambiwaserikali haina pesa ya kulipa viwango wanavyodai . Hivi Kiwete na Pinda na serikali yao ya Chama Cha Majambaziwanatarajia nini kutoka kwa Madaktari hawa?
Nahitimisha kwa kusema kuwa sasa ni wakti wa Watanzania KUAMKANA KUPINGA UJINGA HUU WA SERIKALI YA CCM KWA MAANDAMANO MAKUBWA YA NCHI NZIMAMPAKA KIELEWEKE. Naomba Wabunge makini wa CHADEMA waanze kuwasha motohuko Bungeni kuhusiana na Posho hizi za KIFISADI ili Watanzaia wajue kuwawamechoka kuongozwa na Serikali ya majuha!
Nawasilisha.
Inasikitisha na ni huzuni kubwa kwa jamii ya Watanzaniakusikia kwamba Rais Jakaya Kiwete amebariki na kuridhia ongezeko la Posho kwaWabunge kutoka Tshs .70,000/= mpaka Tshs.200,000/=. Kwa ongezeko hili kilaMbunge sasa ataondoka na kitita cha jumla ya Tshs.330,000/= kwa kila sikuanayokuwepo Bungeni. Hii ni pamoja na kujumlisha Tshs.80,000/=kama posho yakujikimu(perdiem)na Tshs.50,000/= pesa ya mafuta(fuel allowance)inayolipwa kilasiku kwa kila Mbunge aliyeko Bungeni.
Kitendo hiki cha Rais kinaonyesha jinsi Rais Kiweteasivyokuwa na upeo wa kuongoza. Lakini pia kinaonyesha udhaifu wa Serikali yaCCM ambavyo imeshindwa kuongoza nchi hii. Rais Kiwete na Serikali yakewameonyesha DHARAU kubwa sana kwa Watanzania. Kwamba pamoja na malalamiko nakelele za Wananchi na Wanaharakati mbalimbali kupinga posho hizi Kiwete na Serikaliyake wameamua kuridhia ongezeko hilo!
Sasa basi Watanzaniatufanye nini kutokana na kitendo hiki cha dharau, kihuni,kidikteta nakinyonyaji kilichoridhiwa na Rais Kiwete? Jibu nimoja tu: MAANDAMANO.
Haiwezekani kwa namna yoyote ile kudharau na kupuuza maoniya Watanzania ambao ndio wameiweka hii serikali madarakani kwa matumaini kwambaingelikuwa sikivu na kuweza kuwaletea maendeleo Watanzania.
Kuna matukio mengi sana ya kuonyesha kuwa vipato vyaWatanzania walio wengi ni vidogo sana kuanzia Wakulima mpaka Wafanyakazi wataasisi na idara mbalimbali. TUCTA walishaiomba serikali kuongeza Mshahara waKCC (Kima Cha Chini) toka Tshs. 135,000/= mpaka 315,000/kwa mwezi . Badoserikali hii imekataa katakata kwa madai kuwa mshahara huo ni mkubwa sana nahauwezi kulipwa!
Let's use our common sense. Kama kuna mtu anaweza kulipwaTshs. 330,000/= kwa siku kwa maana ya Mbunge,vipi kwa Mfanyakazi anayedaiTshs.315,000/=kwa mwezi siyo kwa siku ishindikane?Kulipa Tshs.330,000/=kwa sikuPESA IPO. Lakini kulipa Tshs.315,000/= kwa mwezi PESA HAIPO!!!!!
Kwa sasa kuna MGOMOWA MADAKTARI nchi nzima wakidai kuboreshewa maslahi yao serikali imekataa kwamaneno kwamba madai yao ni makubwa mno kiasi kwamba seriakli haiwezi kuyamudu. Madaktari bila shaka wamesikia kuwa Rais Kiwete amekubaliWabunge walipwe Tshs 330,000/=kwa siku ilhali madai yao(Madaktari) wanaambiwaserikali haina pesa ya kulipa viwango wanavyodai . Hivi Kiwete na Pinda na serikali yao ya Chama Cha Majambaziwanatarajia nini kutoka kwa Madaktari hawa?
Nahitimisha kwa kusema kuwa sasa ni wakti wa Watanzania KUAMKANA KUPINGA UJINGA HUU WA SERIKALI YA CCM KWA MAANDAMANO MAKUBWA YA NCHI NZIMAMPAKA KIELEWEKE. Naomba Wabunge makini wa CHADEMA waanze kuwasha motohuko Bungeni kuhusiana na Posho hizi za KIFISADI ili Watanzaia wajue kuwawamechoka kuongozwa na Serikali ya majuha!
Nawasilisha.